MPINA ATOA KAULI HII BAADA YA MAHAKAMA KUPANGA SIKU YA HUKUMU

Mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina amesema anatamani hukumu ya kesi yake ya kutaka kurejeshwa kwenye orodha ya wagombea urais itolewe haraka iwezekanavyo, hata kama ni kesho, ili apate nafasi ya kuwaeleza Watanzania kwa nini anataka nafasi hiyo. Mpina ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kisesa, ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Oktoba 6, 2025, nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam mara baada ya kuahirishwa kwa shauri hilo. “Wenzetu wanaendelea na kampeni, sisi tunaendelea na mahakama kusema kweli natamani sana kama ingependeza hukumu hii itoke hata kesho na waseme kuwa ninakwenda kugombea ili kusudi nikawaambie kwa nini nataka nafasi hiyo. Uchache wa siku siyo hoja,” amesema Mpina. Mpina alifungua kesi hiyo kupinga uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kumwondoa katika orodha ya wagombea urais kupitia ACT-Wazalendo, akitaka mahakama imuagize arudishwe katika nafasi hiyo.

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

LISSU AMBANA WAKILI WA SERIKALI - "MNACHUNGUZA VITU GANI KAMA SIO NJAMA NA UZEMBE?"
▶︎

LISSU AMBANA WAKILI WA SERIKALI - "MNACHUNGUZA VITU GANI KAMA SIO NJAMA NA UZEMBE?"

I WILL ARREST ORENGO, SIFUNA AND OPPOSITION FOR FUNDING GEN Z CHAOS" ANGRY MURKOMEN VOWS!!
▶︎

I WILL ARREST ORENGO, SIFUNA AND OPPOSITION FOR FUNDING GEN Z CHAOS" ANGRY MURKOMEN VOWS!!

🇨🇩🚧 UNE PREMIÈRE : De Kinshasa au Haut- Katanga par Routes. C'est la caravane des Infrastructures
▶︎

🇨🇩🚧 UNE PREMIÈRE : De Kinshasa au Haut- Katanga par Routes. C'est la caravane des Infrastructures

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”
▶︎

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

HECHE HASHIKIKI MBEYA, APAGAWISHWA NA NYONI LA WATU, AIKAANGA CCM BILA HURUMA, AWAPA ZA USO POLISI
▶︎

HECHE HASHIKIKI MBEYA, APAGAWISHWA NA NYONI LA WATU, AIKAANGA CCM BILA HURUMA, AWAPA ZA USO POLISI

Mpina Awashukia Wanaomtia Moyo Samia, Ataka Wajiandae Kumpa Pole
▶︎

Mpina Awashukia Wanaomtia Moyo Samia, Ataka Wajiandae Kumpa Pole

STOP BEING STUPID, YOU WON'T TAKE US FOR A RIDE! Caroli Omondi lectures Ichungwa,Speaker like a mumu
▶︎

STOP BEING STUPID, YOU WON'T TAKE US FOR A RIDE! Caroli Omondi lectures Ichungwa,Speaker like a mumu

How I Was Deported From The US
▶︎

How I Was Deported From The US

UTAJIRI wa KUTUPWA wa WAZIRI WAIBUA MASWALI, ANAMILIKI MAGARI, NYUMBA ZA MABILIONI
▶︎

UTAJIRI wa KUTUPWA wa WAZIRI WAIBUA MASWALI, ANAMILIKI MAGARI, NYUMBA ZA MABILIONI

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Asubuhi | 25.06.2026 | Swahili News
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Dunia Yetu | Leo Asubuhi | 25.06.2026 | Swahili News

MPINA AFUNGUKA BAADA YA KUSHINDA KESI, "NITAREJESHA FOMU HATA LEO, HAKUNA KANUNI ILIYOKIUKWA"
▶︎

MPINA AFUNGUKA BAADA YA KUSHINDA KESI, "NITAREJESHA FOMU HATA LEO, HAKUNA KANUNI ILIYOKIUKWA"

Luhaga Mpina Afanya Maamuzi Magumu Siku Chache Kabla ya Oktoba 29: Aenda Mahakama ya Rufaa
▶︎

Luhaga Mpina Afanya Maamuzi Magumu Siku Chache Kabla ya Oktoba 29: Aenda Mahakama ya Rufaa

🔥Chaos as Rufai Defends Obi’s Call for Tinubu’s Resignation, Abati Fires Back in Heated Exchange
▶︎

🔥Chaos as Rufai Defends Obi’s Call for Tinubu’s Resignation, Abati Fires Back in Heated Exchange

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

KAULI YA LUHAGA MPINA AKIWA MAHAKAMA YA RUFANI, APINGA UAMUZI “DEMOKRASIA HAIWEZI KUBAGAZWA”
▶︎

KAULI YA LUHAGA MPINA AKIWA MAHAKAMA YA RUFANI, APINGA UAMUZI “DEMOKRASIA HAIWEZI KUBAGAZWA”

SIKILIZA MAAMUZI YA MAHAKAMA KESI YA MPINA NA INEC
▶︎

SIKILIZA MAAMUZI YA MAHAKAMA KESI YA MPINA NA INEC

LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT
▶︎

LAZIMA MPINA AONDOLEWE ASIGOMBEE URAIS | MPINA ANA HASIRA ATATUVURUGA-MONALISA NDALA MWENEZI ACT

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI
▶︎

#live RAIS SAMIA AKISHIRIKI UFUNGUZI WA JENGO LA TIBA YA MIONZI KWA WAGONJWA WA SARATANI, KCMC MOSHI

Gladys Wanga, ODM haikuwa ya wajaluo- Bunge la Maisha
▶︎

Gladys Wanga, ODM haikuwa ya wajaluo- Bunge la Maisha