Mpina Atarejeshwa Kwenye Kinyang'anyiro cha Ugombea Urais? Kesi Kuendelea

Dodoma: Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma imesikiliza Shauri la Kikatiba namba 24027 la mwaka 2025 lililofunguliwa na Mgombea Urais wa chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina na Bodi ya Wadhamini ya chama hicho kupinga kitendo cha kuondolewa kwa mgombea Urais huyo kwenye Uchaguzi Mkuu. Akiongea Septemba 29, 2025 mkoani Dodoma Wakili John Seka amesema, mahakama imetoa uamuzi kwamba hoja zote zinazohusu shauri hilo zijadiliwe kwa maandishi kutokana na uzito wake. Aidha amesema, Serikali imekuja na pingamizi la kisheria kwamba Mahakama Kuu haina mamlaka ya kisheria ya kusikiliza shauri hilo la kumrudisha kwenye orodha ya wagombea, ambapo Mahakama Kuu imetoa maelekezo kwa Serikali kupeleka mawasilisho yao kuhusu hoja za kisheria za mapingamizi. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, amesema chama hicho hakina wasiwasi kuhusu muda uliosalia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, endapo Luhaga Mpina ataruhusiwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Shauri hilo lililosikilizwa na Majaji watatu Jaji Fredrick Manyanda, Jaji Abdallah Gonzi na Jaji Sylvester Kainda limepangwa kurejea tena Mahakamani Oktoba 6, 2025, saa 8:00 mchana kwa ajili ya kuangalia iwapo pande zote zimezingatia maagizo ya Mahakama, na litakuwa mubashara kupitia kiunganishi cha Mahakama. You can follow us via; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Or visit our website: https://www.thechanzo.com Do you have news? contact us via Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Source 2025 © All Rights Reserved.

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Dritan Goxhaj i pergjigjet Rames/ Del grupi organizator i protestes -5 pikat që mishërojne protesten
▶︎

Dritan Goxhaj i pergjigjet Rames/ Del grupi organizator i protestes -5 pikat që mishërojne protesten

Kesi Mpya ya Mali za CHADEMA Yazua Mabishano Makali Mahakamani, Waleta Maombi Wataka Iwekewe Zuio
▶︎

Kesi Mpya ya Mali za CHADEMA Yazua Mabishano Makali Mahakamani, Waleta Maombi Wataka Iwekewe Zuio

MPINA AFUNGUKA BAADA YA KUSHINDA KESI, "NITAREJESHA FOMU HATA LEO, HAKUNA KANUNI ILIYOKIUKWA"
▶︎

MPINA AFUNGUKA BAADA YA KUSHINDA KESI, "NITAREJESHA FOMU HATA LEO, HAKUNA KANUNI ILIYOKIUKWA"

Kurasini SDA Choir - Sitaki Kujua ilikuwaje!
▶︎

Kurasini SDA Choir - Sitaki Kujua ilikuwaje!

MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..
▶︎

MAKALA: MABADILIKO YA JIJI LA DODOMA KWA SASA...DODOMA FAHARI YA WATANZANIA..

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan
▶︎

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

UTAJIRI wa KUTUPWA wa WAZIRI WAIBUA MASWALI, ANAMILIKI MAGARI, NYUMBA ZA MABILIONI
▶︎

UTAJIRI wa KUTUPWA wa WAZIRI WAIBUA MASWALI, ANAMILIKI MAGARI, NYUMBA ZA MABILIONI

Embeera ya Lukwago etisizza Frank Gashumba n'akaaba, asabye Gen MK amusonyiwe, ky'akoze Hon Tayebwa
▶︎

Embeera ya Lukwago etisizza Frank Gashumba n'akaaba, asabye Gen MK amusonyiwe, ky'akoze Hon Tayebwa

የጌዲዮንና የሚስታቸው መንግስት ፤የቀደዳቸው ወረቀቶች|ETHIO FORUM
▶︎

የጌዲዮንና የሚስታቸው መንግስት ፤የቀደዳቸው ወረቀቶች|ETHIO FORUM

Luhaga Mpina kuwania Urais Tanzania
▶︎

Luhaga Mpina kuwania Urais Tanzania

Sakata la Mjane Mgogoro wa Nyumba, Wakili Aanika Viunzi Vya Kisheria 'Mume Akikopa'
▶︎

Sakata la Mjane Mgogoro wa Nyumba, Wakili Aanika Viunzi Vya Kisheria 'Mume Akikopa'

የፕሮፌሰር ብርሀኑ ነጋ ጥያቄ እና የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ምላሽ | Professor Birhanu Nega | Pm Abiy Ahmed |
▶︎

የፕሮፌሰር ብርሀኑ ነጋ ጥያቄ እና የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ምላሽ | Professor Birhanu Nega | Pm Abiy Ahmed |

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”
▶︎

KAULI NZITO YA MWABUKUSI- “KUFIKIRI CCM ITALETA KATIBA MPYA NI KAMA KWENDA BINGUNI KWA BAJAJI!”

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

Male lion attacks over 20 hyenas
▶︎

Male lion attacks over 20 hyenas

Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Hamsini na Tano - Juni 23, 2026
▶︎

Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa Tatu, Kikao cha Hamsini na Tano - Juni 23, 2026

#LIVE: CHADEMA LANDS IN TUNDUMA WITH A BANG/HECHE & MNYIKA TO ROAR TODAY
▶︎

#LIVE: CHADEMA LANDS IN TUNDUMA WITH A BANG/HECHE & MNYIKA TO ROAR TODAY

Zanzibar Ministers must stop using the Union as an excuse for intimidation – ACT
▶︎

Zanzibar Ministers must stop using the Union as an excuse for intimidation – ACT

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,
▶︎

Rais Samia Suluhu Hassan amemkosoa mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina,