Kurasini SDA Choir - Sitaki Kujua ilikuwaje!

Kwakuwa Bwana anatutendea makuu na mema kila siku, hatuna haja ya kuwaza wala kujua tulikotoka (katika dhambi). Tunalotakiwa kujua ni kuwa tulikuwa wadhambi na sasa Bwana ametuokoa.