MBUNGE AKIRI KUPOKEA SIMU ZA VITISHO, AMWOMBA RAIS SAMIA MSAADA,NI KUHUSIANA NA KIFO CHA BEATRICE

MBUNGE Mstaafu wa Bunge la Afrika Mashariki (EAC) ,Pamela Masaay,amesema yeye ni mmojawapo wa wananchi waliotishwa na viongozi wakubwa wanaomwakilisha Rais wilayani Rombo wakidai kuwa anafanya siasa kwenye suala la kifo cha rafiki yake Beatrice Minja (47) aliyekufa kwa kuchomwa visu 25. Hayo ameyasema Jana Desemba 03,2024 wakati akitoa salamu za rambirambi kwa waombolezaji na wafiwa katika ibada ya mazishi ya Beatrice iliyofanyika katika kijijiji cha Mbomai juu,kata ya Tarakea wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro. "Kuna viongozi wanawapigia simu wananchi kuwatisha,binafsi mimi baada ya kuchukua hatua kuhusiana na hili jambo nimepigiwa simu na viongozi wakubwa wanaomuwakilisha Rais kwenye maeneo haya wakiniambia ninafanya siasa kuhusiana na suala hili ...,siwezi kunyamaza kwasababu fulani ananihoji," alisema Eng. Maassay. Aidha Maassay amemwomba Mkuu wa Utafiti wa jeshi la polisi,ACP Ralph Meela kwamba afikishe salamu kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba wilaya ya Rombo inahitaji uangalizi maalumu (special intervation) ili kuondoa matendo ya ukatili yanayoendelea wilayani hapo. Mwili wa Beatrice Minja (47) alouwawa kwa kukatwa visu 25, umepumzishwa katika makazi yake ya milele jana Desemba 03,2024 kwenye eneo yalipo Makaburi ya familia yaliyopo kijiji cha Mbomai Juu,kata ya Tarakea wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. Beatrice alifariki dunia Desemba 27, 2023 katika Hospitali ya KCMC alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa Novemba 12, 2023 katika kijiji cha Mbomai Juu alipokuwa akitoka katika majukumu yake ambapo mtuhumiwa anayedaiwa kutekeleza kitendo hicho Lucas Tarimo ilielezwa alifariki dunia. Mwili wa Beatrice uliingizwa kaburini majira ya saa 9:35 alasiri , kisha taratibu za viongozi wa Serikali , familia , ndugu jamaa na marafiki kuweka mchanga kaburini humo , zilianza . Taratibu za mazishi ya mwili wa Beatrice zilifika tamati majira ya saa 10 jioni .

SIRI NZITO YAFICHUKA KUHUSU MWANAMKE ALIYECHOMWA VISU 25 NA HAWARA WAKE ROMBO
▶︎

SIRI NZITO YAFICHUKA KUHUSU MWANAMKE ALIYECHOMWA VISU 25 NA HAWARA WAKE ROMBO

RAIS SAMIA AKUTANA na MTOTO HAMIMU Aliyeomba KUMUONA USO kwa USO IKULU; BAADA ya KUMSAIDIA MATIBABU
▶︎

RAIS SAMIA AKUTANA na MTOTO HAMIMU Aliyeomba KUMUONA USO kwa USO IKULU; BAADA ya KUMSAIDIA MATIBABU

Huu ndio ukweli mwanamke aliyepigwa visu 25 Rombo na kufariki
▶︎

Huu ndio ukweli mwanamke aliyepigwa visu 25 Rombo na kufariki

MSIBA wa WALTER ODEMBA ALIYEFARIKI AKISHEREHEKEA MWAKA MPYA SWIMMING POOL -MC LUVANDA ASOMA WASIFU..
▶︎

MSIBA wa WALTER ODEMBA ALIYEFARIKI AKISHEREHEKEA MWAKA MPYA SWIMMING POOL -MC LUVANDA ASOMA WASIFU..

MAMA ALIYECHOMWA VISU 25 KILIMANJARO AFARIKI, NDUGU WADAI MTUHUMIWA YUPO MTAANI
▶︎

MAMA ALIYECHOMWA VISU 25 KILIMANJARO AFARIKI, NDUGU WADAI MTUHUMIWA YUPO MTAANI

Vilio vyatawala Ndugu wakiaga mwili wa Tarimo aliyetuhumiwa kumuua Beatrice kumchoma visu mara 25
▶︎

Vilio vyatawala Ndugu wakiaga mwili wa Tarimo aliyetuhumiwa kumuua Beatrice kumchoma visu mara 25

AJABU MAUAJI ROMBO "ALIANZA KUUA KUKU 80 NGURUWE 6 HALAFU NDO AKAUA MTU BAADA YA KUKATALIWA"
▶︎

AJABU MAUAJI ROMBO "ALIANZA KUUA KUKU 80 NGURUWE 6 HALAFU NDO AKAUA MTU BAADA YA KUKATALIWA"

IRENE KAMUGISHA wa FIX YOU afiwa na MUMEWE kwa AJALI ya MAJI ‘Alikuwa na furaha sana siku hiyo’
▶︎

IRENE KAMUGISHA wa FIX YOU afiwa na MUMEWE kwa AJALI ya MAJI ‘Alikuwa na furaha sana siku hiyo’

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Kauli ya Prof Mkenda kuhusishwa na mtuhumiwa wa mauaji ya Beatrice
▶︎

Kauli ya Prof Mkenda kuhusishwa na mtuhumiwa wa mauaji ya Beatrice

'HILI siyo TUKIO la KWANZA' jirani AZUNGUMZA 'mauaji yameongeza' Mazishi ya ALIYECHOMWA visu mara 25
▶︎

'HILI siyo TUKIO la KWANZA' jirani AZUNGUMZA 'mauaji yameongeza' Mazishi ya ALIYECHOMWA visu mara 25

Mwili wa Tarimo aliyetuhumiwa kumuua Beatrice kwa kumchoma visu mara 25 wazikwa, Katekista asema ...
▶︎

Mwili wa Tarimo aliyetuhumiwa kumuua Beatrice kwa kumchoma visu mara 25 wazikwa, Katekista asema ...

KILICHOMUUA Tarimo ANAYEDAIWA kumchoma Beatrice visu mara 25 KABLA ya KUKAMATWA alifanya..WASIMULIA
▶︎

KILICHOMUUA Tarimo ANAYEDAIWA kumchoma Beatrice visu mara 25 KABLA ya KUKAMATWA alifanya..WASIMULIA

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

SIMANZI MSIBANI KWA BEATRICE ALIYECHOMWA VISU 25, ALIYEMPELEKA HOSPITALI ASIMULIA ALICHOKIONA
▶︎

SIMANZI MSIBANI KWA BEATRICE ALIYECHOMWA VISU 25, ALIYEMPELEKA HOSPITALI ASIMULIA ALICHOKIONA

PM MWIGULU responds to CHADEMA, speaks out on serious issues, uses the CONSTITUTION to clarify, a...
▶︎

PM MWIGULU responds to CHADEMA, speaks out on serious issues, uses the CONSTITUTION to clarify, a...

𝐄𝐚𝐬𝐭𝐥𝐞𝐢𝐠𝐡 𝐕𝐨𝐢𝐜𝐞 𝐚𝐭 𝐍𝐢𝐧𝐞 - Emotions run high as Utumishi Girls fire victims laid to rest
▶︎

𝐄𝐚𝐬𝐭𝐥𝐞𝐢𝐠𝐡 𝐕𝐨𝐢𝐜𝐞 𝐚𝐭 𝐍𝐢𝐧𝐞 - Emotions run high as Utumishi Girls fire victims laid to rest

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA ZIMAMOTO KOZI NAMBA 6/2026
▶︎

HAFLA YA KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA ZIMAMOTO KOZI NAMBA 6/2026

Pastor Rose Shaboka - BREAKING THE GATES
▶︎

Pastor Rose Shaboka - BREAKING THE GATES

🔴#LIVE:  CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO
▶︎

🔴#LIVE: CHADEMA WAITIKISA MPANDA MJINI WASEPA NA KIJIJI, HECHE,MNYIKA, WAUWASHA MOTO