Mwili wa Tarimo aliyetuhumiwa kumuua Beatrice kwa kumchoma visu mara 25 wazikwa, Katekista asema ...
Rombo.Hatimaye mwili wa Lucas Tarimo (39) aliyetuhumiwa kumuua Beatrice Minja(47) kwa kumchoma visu mara 25 mwilini mwake na kusababisha kifo chake, umezikwa nyumbani kwake katika Kijiji cha Mbomai, Tarafa ya Tarakea, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro. Akizungumza msibani hapo Katekista parokia ya Tarakea jimbo katoliki Moshi, Godfrey Kiondo alisema msiba huo ni wa ukoo na kwamba kanisa linasimamia, ambapo pia ameisisitiza jamii na wazazi kusimama vyema katika malezi ili kukuza kizazi bora. Paskal Tarimo, ambaye ni msemaji wa famili alilishukuru jeshi la polisi kwa kumpata kijana wao na kuweza kumfikisha nyumbani ambapo amezikwa. Kwa mujibu wa historia, Marehemu Lucas Tarimo alikuwa mjasiriamali na alijishughulisha na shughuli za ufundi, kilimo na ufugaji ambapo ameacha Mke na watoto saba.

SIRI NZITO YAFICHUKA KUHUSU MWANAMKE ALIYECHOMWA VISU 25 NA HAWARA WAKE ROMBO

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

SIMANZI MSIBANI KWA BEATRICE ALIYECHOMWA VISU 25, ALIYEMPELEKA HOSPITALI ASIMULIA ALICHOKIONA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MFANYABIASHARA WA MADINI na MTOTO WAKE WAUAWA KINYAMA ndani YA GARI, DEREVA AKIRI KUHUSIKA

WASIMULIA NDUGU YAO ALIYEFARIKI 2020 NA KUONEKANA HAI 2024, "TULIMZIKA, ALIGONGWA NA GARI"

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

Baba asimulia maisha ya mwanaye Lucas, ukorofi wake na alivyotokomea

Kauli ya Prof Mkenda kuhusishwa na mtuhumiwa wa mauaji ya Beatrice

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAANZA KURUDISHWA KWA WATOTO NA SERIKALI

WAZIRI MKENDA Afunguka KERO ya MAJI ROMBO - "RAIS SAMIA AKIJA ATASHANGAA"

Man Cave 6: Pressure, Power and Purpose

SAKATA la USAFIRI Kilimanjaro EXPRESS Lipo hivi!! Mkurugenzi, Mwanasheria WAFUNGUKA

FULL VIDEO: JESHI LILIVYOSIMAMIA KIKAMILIFU MAZISHI ya HAYATI MKAPA KIJIJINI LUPASO, JULAI 29, 2020

#live RAIS SAMIA AKIMPOKEA RAIS NETUMBO NANDI-NDAITWAH, IKULU DAR ES SALAAM JUNI 20, 2026

Mfanyabiashara awagomea polisi | Sipandi hii gari mimi twende kwa mguu | Anatishia kutufyeka mapanga

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

IRENE KAMUGISHA wa FIX YOU afiwa na MUMEWE kwa AJALI ya MAJI ‘Alikuwa na furaha sana siku hiyo’

