HATUWEZI KUJENGA BARABARA KIWANGO CHA LAMI HALAFU TAA ZITUSHINDE" ALISEMA DK, MWINYI PEMBA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi wa Pemba kuwa Barabara nyingi Kisiwani humo zitajengwa kwa Kiwango cha Lami. Rais Sk, Mwinyi ametoa tamko hilo alipozindua Barabara za Kilomita 10 za Micheweni - Kiuyu-Maziwa Ng'ombe na Barabara ya Michweni -Shumba Mjini hadi Bandarini Wilaya ya Micheweni ,Mkoa wa Kaskazini Pemba. Aidha amefahamisha kuwa Serikali Ina Programu Maalum ya Kuziwekea Taa Barabara zote zilizojengwa kwa Kiwango cha Lami nchi nzima. " Hatuwezi Kujenga Barabara kiwango cha lami halafu taa zitushinde" alisema Dk, Mwinyi Amesisitiza kuwa Barabara zilizofikia Ujenzi wa Kuwekwa Kifusi zikiwa Barabara kuu au Zile za ndani zote zitawekwa lami. Rais Dk , Mwinyi amewahimiza Wananchi kuacha kujenga katika Hifadhi za Barabara kwani zimetengwa maalum kwa ajili ya kuendeleza Miundombinu mengine. Dk, Mwinyi ameeleza kuwa kumekuwa na Tabia ya Watu kujenga Pembezoni mwa Barabara kwa kutegemea kulipwa Fidia na Serikali jambo ambalo sio sahihi. Rais Dk, Mwinyi ameiagiza Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa Nyumba zilizokwepwa na Barabara ziondoshwe na kuacha wazi hifadhi ya Barabara. Rais Dk, Mwinyi amezitaka Halmashauri Kusimamia suala hilo na kudhibiti Utoaji wa vibali holela vya Ujenzi Pembezoni mwa Barabara. Akizungumzia bei za Chakula Dk, Mwinyi ameeleza kuwa Serikali imeamua Kuzijenga Bandari za Mkoani ,Shumba Mjini na Mkoani ili bidhaa zinazotoka nchi za nje ziweze kupelekwa Moja kwa moja Pemba hatua itakayopunguza gharama za Usafirishaji . Rais Dk,Mwinyi amesisitiza kuwa itamkabidhi Mkandarasi aliejenga Bandari ya Mkoani Bandari za Shumba Mjini na Wete ili aanze Ujenzi Hivi karibuni ili kufikia Lengo hilo. Aidha Rais Dk, Mwinyi amewathibitishia Wananchi kuwa Serikali itaikabidhi Kampuni IRIS iliojenga Barabara zilizozinduliwa za Micheweni kazi ya kuziunganisha na Barabara kuu barabara ndogondogo ziliyomo Micheweni. Akiwasilisha Taarifa ya Kitaalamu ya Ujenzi wa Barabara Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Dk, Habiba Hassan amesema Ujenzi wa Barabara hizo zenye Urefu wa Kilomita 10 ni utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2025 ,Dira ya Maendeleo ya Zanzibar, Mpango Mkuu wa Maendeleo wa Taifa na Mpango Mkuu wa Usafiri ambapo Barabara zenye Urefu wa Kilomita 140.9 zimejengwa Unguja na Kilomita 134.9 zimejengwa Pemba.

KIMENUKA ZANZIBAR! ACT WAZALENDO YAPINGA KAULI ZA MAWAZIRI KUHUSU UZANZIBARI NA ZAN ID
▶︎

KIMENUKA ZANZIBAR! ACT WAZALENDO YAPINGA KAULI ZA MAWAZIRI KUHUSU UZANZIBARI NA ZAN ID

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa
▶︎

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!
▶︎

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA
▶︎

WANANCHI WAMGOMEA MKUU WA KITUO CHA POLISI DIWANI ACHARUKA MKUTANO WAVURUGIKA NA KUSAMBARATIKA

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu
▶︎

Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

RAIS MWINYI AAHIDI KUENDELEZA UJENZI WA MIUNDOMBINU KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI
▶︎

RAIS MWINYI AAHIDI KUENDELEZA UJENZI WA MIUNDOMBINU KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI

SHUHUDIA UZURI WA KUVUTIA WA PEMBA
▶︎

SHUHUDIA UZURI WA KUVUTIA WA PEMBA

Second Largest City in Tanzania 2026. This is Mwanza City that everyone is Visiting
▶︎

Second Largest City in Tanzania 2026. This is Mwanza City that everyone is Visiting

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse
▶︎

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse

PROTECT US FROM ZULU PEOPLE.. SAYS TSONGA PEOPLE TODAY MARCHING TO UNION BUILDINGS
▶︎

PROTECT US FROM ZULU PEOPLE.. SAYS TSONGA PEOPLE TODAY MARCHING TO UNION BUILDINGS

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI
▶︎

ZAIDI YA BILIONI 50 ZA TPA ZINAVYOANZA KUIBADILI KATAVI

🇪🇹Top 30 Massive Projects Transforming Ethiopia
▶︎

🇪🇹Top 30 Massive Projects Transforming Ethiopia

PEMBA 🏝️ Kisiwa ch Tanzania chenye Historia Nzito ya Afrika 🌍 🌿
▶︎

PEMBA 🏝️ Kisiwa ch Tanzania chenye Historia Nzito ya Afrika 🌍 🌿

UJENZI WA KITUO CHA UKAGUZI WA MAGARI MARUHUBI ZANZIBAR UKIENDELEA
▶︎

UJENZI WA KITUO CHA UKAGUZI WA MAGARI MARUHUBI ZANZIBAR UKIENDELEA

DK. MWINYI MUARUBAINI WA ELIMU YA JUU KISIWANI PEMBA
▶︎

DK. MWINYI MUARUBAINI WA ELIMU YA JUU KISIWANI PEMBA

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.
▶︎

Mwanasheria Mkuu CHADEMA amjibu waziri Katambi zuio la Mikutano vyama vya siasa.