RAIS MWINYI AAHIDI KUENDELEZA UJENZI WA MIUNDOMBINU KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameizindua rasmi Barabara ya Chake–Wete yenye urefu wa kilomita 22.2, na kuahidi kuwa Serikali itaendelea na ujenzi wa miundombinu zaidi kwa lengo la kuifungua Pemba kiuchumi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 8 Desemba, 2026, katika Uwanja wa Michezo wa Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ameeleza kuwa ujenzi wa miundombinu ni nguzo muhimu ya maendeleo kwa nchi yoyote inayolenga maendeleo ya haraka, na kubainisha kuwa tayari Pemba imeanza kufunguka kiuchumi kupitia miradi mikubwa ikiwemo ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Pemba, Bandari za Mkoani na Wete, Barabara ya Chake–Wete, pamoja na ujenzi wa Barabara ya Mkoani–Chake unaotarajiwa kuanza hivi karibuni. Kwa upande wake, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Khalid Salum Muhammed, amesema mafanikio yanayopatikana katika sekta ya miundombinu yanatokana na maono ya Rais Dkt. Mwinyi, akieleza kuwa Serikali tayari imeshasaini mikataba mitatu (3) ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika Unguja na Pemba. Akiwasilisha taarifa ya kitaalamu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Ali Said Bakari, amesema Barabara ya Chake–Wete imejengwa na Kampuni ya MECCO, ina urefu wa kilomita 22.2, na imegharimu jumla ya Shilingi Bilioni 26.6. #ChakeWeteRoad #MaendeleoPemba #MiundombinuZanzibar #Mapinduzi62 #UjenziBarabara #ZanzibarYetu #SerikaliYaMapinduziZanzibar #ASAMOnlineTV

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO
▶︎

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI
▶︎

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI

SHUHUDIA UZURI WA KUVUTIA WA PEMBA
▶︎

SHUHUDIA UZURI WA KUVUTIA WA PEMBA

WAFANYA BIASHARA WALIOINGIZA BIDHAA MBOVU ZANZIBAR WATIWA MBARONI
▶︎

WAFANYA BIASHARA WALIOINGIZA BIDHAA MBOVU ZANZIBAR WATIWA MBARONI

ONESHO LA FILAMU LA HISTORIA YA KILWA LAZINDULIWA ZANZIBAR
▶︎

ONESHO LA FILAMU LA HISTORIA YA KILWA LAZINDULIWA ZANZIBAR

UFAHAMU MRADI WA BANDARI YA MPIGA DURI
▶︎

UFAHAMU MRADI WA BANDARI YA MPIGA DURI

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA
▶︎

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

Hii hapa Siri ya Mafanikio ya Awamu ya 8
▶︎

Hii hapa Siri ya Mafanikio ya Awamu ya 8

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI  KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

MVUVI APOTEA BAHARINI KIZINGO, FAMILIA YAOMBA MSAADA WA UTAFUTAJI
▶︎

MVUVI APOTEA BAHARINI KIZINGO, FAMILIA YAOMBA MSAADA WA UTAFUTAJI

Hutuba ya Ufunguzi wa Siku ya Mabaharia,Kigoma Tanzania.
▶︎

Hutuba ya Ufunguzi wa Siku ya Mabaharia,Kigoma Tanzania.

PEMBA 🏝️ Kisiwa ch Tanzania chenye Historia Nzito ya Afrika 🌍 🌿
▶︎

PEMBA 🏝️ Kisiwa ch Tanzania chenye Historia Nzito ya Afrika 🌍 🌿

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees
▶︎

The New Face of Nyerere Road Dar Es Salaam in 2026 | new BRT System and 1000+ trees

DKT. KHALID: ONGEZEKO LA WATU LAZIMA LIENDANE NA MIPANGO BORA YA MATUMIZI YA ARDHI
▶︎

DKT. KHALID: ONGEZEKO LA WATU LAZIMA LIENDANE NA MIPANGO BORA YA MATUMIZI YA ARDHI

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

MOTO WA AJABU WAZUA HOFU KIJICHI, WAJIRUDI MARA KWA MARA
▶︎

MOTO WA AJABU WAZUA HOFU KIJICHI, WAJIRUDI MARA KWA MARA

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR ZEC 2025 RAIS MWINYI ATOA KAULI HII
▶︎

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI JENGO LA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR ZEC 2025 RAIS MWINYI ATOA KAULI HII

30 Insane Geography Facts About Tanzania
▶︎

30 Insane Geography Facts About Tanzania

DEMOLITION OF PLATES TO PREVENT CONSTRUCTION OF FLYOVER ROAD IN AMANI MTONI
▶︎

DEMOLITION OF PLATES TO PREVENT CONSTRUCTION OF FLYOVER ROAD IN AMANI MTONI