🔴#LIVE: KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA MKOA WA KATI

Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu ACT Wazalendo utazipata kupitia channel hii.Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chetu cha ACT Wazalendo Makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi. Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia: 1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira. 2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa. 3.Upatikanaji wa elimu bora. 4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote. 5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote. 6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu. 7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi. 8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza. 9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote. 10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

Ismail Jussa: Tunatabia ya Kulaghaiwa na Kulaghaika Ukifika Wakati wa Uchaguzi
▶︎

Ismail Jussa: Tunatabia ya Kulaghaiwa na Kulaghaika Ukifika Wakati wa Uchaguzi

🔴#LIVE: KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA MKOA WA MAGHARIB A
▶︎

🔴#LIVE: KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA MKOA WA MAGHARIB A

TAG GOSHEN MOROGORO
▶︎

TAG GOSHEN MOROGORO

Vijana ACT Wazalendo wataka Nadir ashikishwe adabu, au waingie wenyewe kazini
▶︎

Vijana ACT Wazalendo wataka Nadir ashikishwe adabu, au waingie wenyewe kazini

🔴#LIVE​​​​​​​​​​: MWILI wa MAALIM SEIF UMESWALIWA KATIKA MSIKITI WA MAAMUR DAR ES SALAAM..
▶︎

🔴#LIVE​​​​​​​​​​: MWILI wa MAALIM SEIF UMESWALIWA KATIKA MSIKITI WA MAAMUR DAR ES SALAAM..

Waliopata ajali ya Meli waokolewa. #views #foryou #zanzibar #tanzania
▶︎

Waliopata ajali ya Meli waokolewa. #views #foryou #zanzibar #tanzania

POLISI YAZUIA MAANDAMANO KUELEKEA IKULU YA VIJANA WA ACT WAZALENDO
▶︎

POLISI YAZUIA MAANDAMANO KUELEKEA IKULU YA VIJANA WA ACT WAZALENDO

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM
▶︎

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

Jussa:Nyie bandari tu mnapiga kelele sisi mmetupora kila kitu na kuwafanya Wazanzibari kuwa ombaomba
▶︎

Jussa:Nyie bandari tu mnapiga kelele sisi mmetupora kila kitu na kuwafanya Wazanzibari kuwa ombaomba

TAZAMA MBUNGE SAIDI ALI MBAROUK ALIVYOITETEA ZANZIBAR
▶︎

TAZAMA MBUNGE SAIDI ALI MBAROUK ALIVYOITETEA ZANZIBAR

Anchor Media የጎንደሩ የሰሞኑ ውጊያ ''የምናውቀው ክምር የእህል ነበር፥ አሁን የሰው ልጅ ሆኗል'' ኮ/ል አበራ አዛናው
▶︎

Anchor Media የጎንደሩ የሰሞኑ ውጊያ ''የምናውቀው ክምር የእህል ነበር፥ አሁን የሰው ልጅ ሆኗል'' ኮ/ል አበራ አዛናው

#LIVE 🔴MKUTANO WA HADHARA #BUBUBU #KIJICHI UWANJA WA KWA #GEJI Mhe OTHMAN MASOUD NA JUSSA JUKWAANI..
▶︎

#LIVE 🔴MKUTANO WA HADHARA #BUBUBU #KIJICHI UWANJA WA KWA #GEJI Mhe OTHMAN MASOUD NA JUSSA JUKWAANI..

Sikiliza utenzi mwanana wa ACT Wazalendo
▶︎

Sikiliza utenzi mwanana wa ACT Wazalendo

JUSSA AGAWA DOZI MPYA KWA RAIS MWINYI LEO KATIKA MKUTANO WA PANGAWE, AFICHUA MAUZAUZA MENGINE MAPYA
▶︎

JUSSA AGAWA DOZI MPYA KWA RAIS MWINYI LEO KATIKA MKUTANO WA PANGAWE, AFICHUA MAUZAUZA MENGINE MAPYA

ACT wampokea Makamu wa Rais kwa shangwe nzito
▶︎

ACT wampokea Makamu wa Rais kwa shangwe nzito

D.C KILWA ATUMIA JUKWAA LA ACT WAZALENDO KUHAMASISHA UMOJA
▶︎

D.C KILWA ATUMIA JUKWAA LA ACT WAZALENDO KUHAMASISHA UMOJA

#LIVE🔴MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO #KIVUNGE #UNGUJA #ACT #OTHMAN #JUSSA 02.2.2025
▶︎

#LIVE🔴MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO #KIVUNGE #UNGUJA #ACT #OTHMAN #JUSSA 02.2.2025

@vugaonlinetv: SIKILIZA UTENZI HUU ULIOSOMWA NA WATOTO WA #ACT WAZALENDO UNA UJUMBE MZITO NDANI YAKE
▶︎

@vugaonlinetv: SIKILIZA UTENZI HUU ULIOSOMWA NA WATOTO WA #ACT WAZALENDO UNA UJUMBE MZITO NDANI YAKE

Act-wazalendo, Mama Khadija Anuar ni kiboko kwa ccm.
▶︎

Act-wazalendo, Mama Khadija Anuar ni kiboko kwa ccm.