#LIVE 🔴MKUTANO WA HADHARA #BUBUBU #KIJICHI UWANJA WA KWA #GEJI Mhe OTHMAN MASOUD NA JUSSA JUKWAANI..
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu Act Wazalendo utazipata kupitia channel hii Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chet Cha ACT Wazalendo makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi. Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia: 1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira. 2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa. 3.Upatikanaji wa elimu bora. 4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote. 5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote. 6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu. 7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi. 8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza. 9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote. 10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

🔴#LIVE: MWILI wa MAALIM SEIF UMESWALIWA KATIKA MSIKITI WA MAAMUR DAR ES SALAAM..

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

#LIVE 🔴UCHUKUAJI WA FORM WA MGOMBEA URAISI ZANZIBAR Mhe OTHMAN MASOUD OTHMAN HUU HAPA ANGALIA #OMO25

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

LAZIMA TUSHIRIKIANE NA WENZETU......MHE HEMED

DIWANI WA WADI YA CHUKWANI AKANUSHA UVUMI MITANDAONI,ATOA UFAFANUZI UJENZI WA BARABARA

🔴#LIVE: KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA MKOA WA KATI

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

POLISI YAZUIA MAANDAMANO KUELEKEA IKULU YA VIJANA WA ACT WAZALENDO

Momentos de oración | Padre Martín Ávalos | Estamos orando por tus intenciones

@officialactwazalendotv WAO WALIONA WAMEM FEDHEHESHA BALI ILIKUWA NI KUMPA UJASIRI NA KUWAJUZA UMMA

LIVE: UWEKAJI WAJIWE LA MSINGI KITUO CHA MABASI VIWANJA VYA MALINDI

RAIS MWINYI AMEKUTANA NA MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO TAIFA MHE JUMA DUNI HAJI

🔴#LIVE: MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO MTAMBWE

📺🔴: ZEC YATANGAZA MATOKEO YA URAIS 2025 || UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR

"Tulitumiliwa" anasema Katibu Mkuu wa Kwanza wa BLM juu ya Zanzibar kuingia kwenye Muungano

TAHARUKI CHWAKA TUMBE:Moto Wateketeza Jengo la Dharura la Wanafunzi

Zanzibar si ya kupitwa na Mauritius - OMO | Gumzo la Leo

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

