🔴#LIVE: KONGAMANO LA NGOME YA VIJANA MKOA WA MAGHARIB A
Channel Rasmi ya Chama Cha ACT Wazalendo Habari zote kuhusu ACT Wazalendo utazipata kupitia channel hii.Usipitwe na Habari Moto Moto Kutoka Katika Chama Chetu cha ACT Wazalendo Makala Tofauti Tofauti Habari nyengine nyingi Kuhusu Chama Chetu Utazipata Hapa #actwazalendotv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui Chama cha ACT Wazalendo kilianzishwa mnamo mwaka 2014 na ni chama kinachoendelea kukua kwa kasi nchini Tanzania. Sisi ni vuguvugu lenye lengo la kutengeneza Tanzania huru, yenye maendeleo na mafanikio ambayo misingi yake itakuwa ni uhuru, uwajibikaji, na uwazi. Dira yetu ni kwa Tanzania kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kupitia: 1.Kujenga uchumi shirikishi unaoshamiri na wenye kukua na kuweza kutengeneza ajira. 2.Miundombinu imara inayochochea sekta zote za uchumi unaokuwa. 3.Upatikanaji wa elimu bora. 4.Upatikanaji wa huduma bora za afya kwa wote. 5.Kujenga taasisi ya polisi huru na inayozingatia taaluma ili iweze kuwahudumia na kuwalinda watu wote. 6.Muungano wenye kuweka maslahi ya watu wa pande zote mbele, wa haki na wa usawa utakaowekewa msingi wake kwenye Katiba ya watu. 7.Vita dhidi ya rushwa na aina zote za ufisadi. 8.Utoaji wa hifadhi ya jamii iliyobora kwa wasiojiweza, masikini na watu wengine wasiojiweza. 9.Makazi ambayo watu wanaweza kuyamudu, na kupatikana kwa wote. 10.Upatikanaji wa maji safi na salama kwa watu wote.

TAZAMA MBUNGE SAIDI ALI MBAROUK ALIVYOITETEA ZANZIBAR

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

MWAMBA HUYU HAPA || NASSOR MAZRUI || ATOA WASIA NZITO LEO

President, Julius Malema’s round table discussion on the Frank Dialogue

"YOU'RE A NOBODY" – DR MIRIA MATEMBE STINGS MUHOOZI KAINERUGABA OVER TORTURING UGANDAN OPPOSITION

2 SATA Historije Osmanskog Carstva

Capitalism vs. Socialism: A Soho Forum Debate

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

CELEBRATING 75 YRS OF KISUBI SEMINARY - 27TH JUNE 2026

Jussa azuru kaburi la Marehemu Maalim Seif

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

SALAAM KUTOKA UVCCM KWENDA KWA ABDUL NONDO

| SUNDAY LIVE | THE JIMI WANJIGI PLAN

KENAN KIHONGOSI : NAMTAKA HECHE, LEMA NA SUGU NIFANYE NAO MDAHALO /MWENEZI CCM TAIFA

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

KONTRA #27 Rymanowski, Bartosiak, Bosak: Co dalej z Ukrainą?

Finally Gichobi brothers comes out.we were not able to help our brother but God did

@vugaonlinetv: HIVI NDIVO MAALIM SEIF ALIVO ACHA ALAMA KWA JAMII JUSSA AMUELEZEA #MAALIM #FOUNDATION

CCM Zanzibar hawauonei wivu Uzanzibari wao - Omar Said Shaaban | GUMZO MAALUM

