UKEREWE HAIJAWAHI KUWA NA HOSPITALI YENYE ICU
NA ALBERT G. SENGO/UKEREWE Halmashauri ya wilaya ya ukerewe mkoani mwanza imefanikiwa kuokoa shilingi millioni 74 kwenye mradi wa ujenzi wa Jengo la wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum(ICU)katika Hospitali ya BWISYA iliyopo kwenye kisiwa cha Ukara wilayani humo. Mganga mfawidhi wa hospitali hiyo DOKTA ALEX SIBONA amesema kuwa fedha hizo ni kati ya shilingi millioni 251 zilizotolewa na serikali kuu kwa ajili ya kugharamia utekelezaji wa mradi huo. Ujenzi wa mradi wa ICU katika hospitali ya BWISYA umefikia hatua za mwisho kukamilika ambapo Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya ukerewe EMMANUEL SHELEMBI amewaasa wananchi kuendelea kuunga mkono Jitihada za serikali ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Wilaya ya ukerewe kwa sasa haina huduma ya ICU na Hospitali ya BWISYA inatarajiwa kuwa ya kwanza kutoa huduma hiyo.

Historia ya kisiwa cha Ukerewe.

Mpoooo! Mwanza kama Ulaya, Barabara zote kuwekwa Lami/ Bil 56.038 zatengwa kujenga KM 39 za Lami

BMG TV: Uzuri wa Tanzania (S02-E10) Tumefika Nansio Ukerewe, mji unakua kwa kasi

Mpina na Mdeleka Wanazungumza Wakati Huu

Zaidi ya shilingi bilioni 4 kujenga hospitali ya rufaa Ukerewe

LIVE: Rais Magufuli ana wahutubia Wananchi wa Ukerewe

UKEREWE ll SERIKALI KUJENGA HOSPITALI YA KIBINGWA YA RUFAA

#KATAMBI ATOA MARUFUKU MIKUTANO YA KISIASA YA HADHARA NCHINI

BoT KUNUNUA TANI 6 YA DHAHABU – GAVANA TUTUBA

CCM YAAGIZA MKANDARASI ALIYEJENGA HOSPITALI YA UKEREWE AKAMATWE, MAJENGO YAMEJENGWA CHINI YA KIWANGO

GHASIA KALI ZA ZUKA KISIWA CHA UKEREWE MAUAJI YATOKEA

Ziara ya Makamu wa Rais Mhe. Philip Mpango wilayani Ukerewe mkoani Mwanza

KAULI YA MBUNGE MSUKUMA BAADA YA KUTUNUKIWA UDAKTARI - "NITAWASHAURI WASOMI WENZANGU"

MAISHA YA PIUS MSEKWA NYUMBANI KWAKE UKEREWE

UKARABATI SHULE YA SEKONDARI BUKONGO WILAYANI UKEREWE

Jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Mwanza, upi mchoro bora?

Tazama Ujenzi wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda - Kibara.Usisahau kusubscribe

Kazi Inaendelea...!!! Cheki maendeleo ya jengo la abiria MWANZA AIRPORT

SHEREMBI AKAMILISHA MIRADI YA BOOST UKEREWE NA CHENCHI IKABAKI MIL. 70

