UKARABATI SHULE YA SEKONDARI BUKONGO WILAYANI UKEREWE

Katika kipindi cha Miaka minne ya Dkt. Samia, Shule ya Sekondari Bukongo imepokea zaidi ya Ts. Milioni 693 ambazo zimetumika katika ujenzi wa Mabweni 3, Madarasa Vyumba 8, pamoja na Matundu ya Vyoo 33.