BoT KUNUNUA TANI 6 YA DHAHABU – GAVANA TUTUBA
Benki Kuu ya Tanzania imeanza zoezi la ununuzi wa dhahabu kwa lengo la kuchangia maendeleo ya sekta ya madini nchini pamoja na kuongeza akiba ya fedha za kigeni. Akizungumza baada ya ziara katika kiwanda cha kusafisha dhahabu cha Geita (Geita Gold Refinery) na kiwanda cha kusafisha dhahabu cha Mwanza (Mwanza Precious Metals Refinery Co. Ltd), Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba, amesema kuwa tayari BoT imenunua na kusafisha dhahabu yenye uzito wa kilo 418.

▶︎
WADAU WATEMBELEA MGODI WA MADINI WA GEITA GOLD MINE (GGM)

▶︎
MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA

▶︎
BMG TV: Jionee uwekezaji mkubwa ndani ya kiwanda cha dhahabu Mwanza

▶︎
KABLA YA KUNUNUA HISA ZINGATIA MAMBO HAYA, FAHAMU JINSI YA KUWEKEZA KWENYE MASOKO YA MITAJI

▶︎
GAVANA wa BENKI KUU TANZANIA AZUNGUMZIA MIKOPO KAUSHA DAMU

▶︎
SABASABA | Chuo cha BoT kinavyopika wataalam wa fedha nchini

▶︎
CRDB BENKI YAZINDUA HUDUMA DHAHABU KANDA YA KUSINI-MTWARA/DC KYOBYA AZINDUA

▶︎
EXCLUSIVE: "UAMINIFU, KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUHESHIMU RIKA ZOTE" SALAAH MOHAMED

▶︎
ZIJUE NJIA ZA UCHENJUAJI DHAHABU

▶︎
MSIGWA BILIONEA MPYA TANZANIA, AUZA DHAHABU KILO 111 KWA BILIONI 20 MBEYA

▶︎
EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA CHARLES KITWANGA, KUFANYA KAZI BANK KUU NA MAISHA YAKE

▶︎
KIWANDA KIKUBWA AFRIKA CHA KUSAFISHA DHAHABU CHAZINDULIWA NA WAZIRI BITEKO

▶︎
"KWENYE KUSIMAMIA HAKI NA KUTETEA WANYONGE, NIKO TAYARI KUPOTEZA CHOCHOTE" - RC MAKONDA

▶︎
HII NDIO FAIDA PEKEE AMBAYO UTAIPATA KUTOKA KWA BENKI YA NMB

▶︎
MFANYABIASHARA MKUBWA ARUSHA ATOFAUTIANA NA GAVANA MKUTANONI "HAWATAKI KUONA DOLA YAKO"

▶︎
SAB GOLD LIMITED WAIOMBA B.O.T, KUWATAMBUA

▶︎
Geita Wazipiku Simba na Yanga, Watengeneza Uwanja Mpya Kama Ulaya

▶︎
RC GEITA ACHACHAMA UWANJA WA GEITA GOLD KUJENGWA BILA RAMANI

▶︎
BENKI KUU YAFIKISHA TANI 15.37 ZA DHAHABU

▶︎
