''ASANTE RAIS SAMIA''-WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA

Utawala wa awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan umeboresha masoko ya kilimo cha zao la tumbaku nchini na kunyanyua hali za kimaisha za wakulima wa zao hilo mkoani Tabora. Hawa ni baadhi ya wakulima mkoani humo wakimshukuru @samia_suluhu_hassan kwa jitihada zake za kuimarisha kilimo. @bashehussein @wizara_ya_kilimo