RAIS SAMIA ATAJWA UTAJIRI WA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA
Baadhi ya wakulima wa tumbaku wilaya ya URAMBO mkoani TABORA wameishukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuboresha sekta hiyo inayowawezesha kujiondoa katika umasikini. Akizungumza na CG FM mkulima wa chama cha msingi TWAWEZA kilichopo ITUNDU wilayani humo ASHA BAKARI amesema kipato cha kilimo cha zao hilo kimempa uwezo wa kumiliki uchumi kwa kuwekeza kwenye shughuli nyingine za kiuchumi ikiwemo ufugaji. Mkuu wa wilaya ya URAMBO, Daktari HAMIS MKANACHI amesema ni lengo la serikali kuongeza ufanisi wa uzalishaji wa zao hilo na kuboresha bei ya zao hilo ili kuimarisha zaidi uchumi wa wakulima na serikali. Hivi karibuni Mkurugenzi mkuu wa bodi ya tumbaku nchini STANLEY MNOZYA alisema ushindani wa masoko ya tumbaku nchini umeongezeka na kusababisha ongezeko la mapato kwa wakulima. Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais SAMIA SULUHU HASSAN maslahi ya wakulima yameimarika baada ya kuongezeka kwa wanunuzi na kupanda kwa bei ya tumbaku.

UVUNAJI NA UKAUSHAJI WA TUMBAKU

WATU 9 MAHAKAMANI UTOROSHAJI TUMBAKU

WAZIRI BASHE ASHTAKIWA KWA RAIS NA WAKULIMA WA TUMBAKU URAMBO-TABORA,MKUU WA WILAYA AINGILIA KATI.

UTATA WAIBUKA KUPOTEA KWA SIZA KEHETA DIWANI GANYANGE HUKO TABORA ,FAMILIA YAMUANGUKIA RAIS SAMIA

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

WAMPONGEZA RAIS SAMIA ONGEZEKO LA BEI YA TUMBAKU

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

''ASANTE RAIS SAMIA''-WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA

KUTANA NA KIJANA WA KITANZANIA, MKULIMA MKUBWA WA TUMBAKU ANAYEPATIKANA SIKONGE TABORA

TAZAMA MKULIMA TAJIRI WA TUMBAKU TABORA ANAYEMILIKI EKARI ZAIDI YA 300 AIIVYOMTAJA RAIS SAMIA,BASHE

TAARIFA YA HABARI SAA 10 JIONI, JUNE/22/2026, CG FM RADIO

LAUGHTER OF TABORA TOBACCO FARMERS AFTER THE MARKET

How Traore is Magically Growing Real Apples in Desert?

RICHARD WA ARUSHA ALIYEDAIWA KUMBAKA MWANAE YABAINIKA SI KWELI, MTOTO APIMWA HOSPITALI MBILI TOFAUTI

Alliance One na Obamco Tobacco Watangaza Neema Kwa Wakulima wa Tumbaku Msimu Huu

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

Kifahamu Kilimo Cha Tumbaku Tanzania

MWANAMAMA MWENYE NDOTO KUBWA KATIKA KILIMO CHA TUMBAKU, "PAMOJA NA JUA KALI TUMEANZA KULIMA"

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

