Mbangamojo Ngoma Ya Asili Iliyoacha Gumzo Kwa Style Za Mayele Tamasha la Mpalano

#BusokeloTv #MpalanoFestival #UtamaduniKusini Mbangamojo Ngoma ya asili kutoka Kyela ni miongoni mwa ngoma zilizotumbuiza katika tamasha la Mpalano lililofanyika katika viwanja vya Kisiba wilayani Rungwe. KWA MATANGAZO, WASILIANA NASI Email: [email protected] Simu: 0762684745 au 0674217445 Karibu sana