Marioo ft. Bien - Nairobi (Lyrics)

Nairobi lyrics - Marioo ft. Bien 🎶Official Audio:    • Marioo feat Bien - Nairobi (Track No.4)   🎬Official Music Visualiser:    • Marioo feat Bien - Nairobi (Visualiser)   🎵Bien:    / @bienofficial   🎵Marioo:    / @mariooofficialmusic   📱LyricLike:    / @lyriclike   💯Follow:   / lyric.like   🔔Turn on the notification bell to stay updated Nairobi Lyrics: Verse 1; Nilikutana nae kilimani Nairobi Elfu mbili na kumi na tano Kibaridi cha asubuhi kijua flani sio kikali saa tano Ooh, Nairobi, elfu mbili na kumi na tano, oh Nikamchagua yeye katikati ya wenzake watano Ah, nikamuomba akaniomba namba Moyoni mwangu nikampa moja She's my number, ah, number, ah moja Nikamuomba akaniomba namba Moyoni mwangu nikampa moja Now she's my number, ah, number, ah, moja Chorus; Yani namaanisha kwamba Ndio tushaoana Tushaoana Ndio tushaoana Ndio tushaoana Hook; (Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah) (Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah) Verse 2; Tulipatana Bongo Mikocheni Niko zangu beach nala upepo wa bahari Alinipita kama meli Anayumbayumba akidondosa kishenzi Ooh, Mikocheni nikamfata utadhani zombie Habari gani mbona uko lonely Jina ni gani akasema Zari Nikamwambia aje (aje) Nikamwambia kwangu ni kwake Nimshike wapi ndo aje Nataka moyo wangu uwe wake Bridge; Watangoja sana Wakidhania tutaachana Mi' na yeye tumeshaivana Naichapa usiku na mchana Aiyaiyayah, aah Chorus; Yani namaanisha kwamba Ndio tushaoana (Tushaona na yeye sa' ni mi' tu na yeye) Tushaoana (Tushaona na yeye, eh, sa ni mi tu na yeye) Ndio tushaoana Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah Ndio tushaoana Tushaoana, tushaoana, tushaoana, ah-ah Outro; Oh, yeah, tushaoana Ooh, alooh! Tags: Nairobi Marioo ft Bien Nairobi lyrics Marioo ft Bien Nairobi city #Marioo #Bien #Nairobi #lyics GOD BLESS🙏 YOU.