Mbosso - PAWA (Lyrics)

🎶 Love these lyrics? 🔥 Drop your own tracks on Spotify, Apple Music & TikTok! Use my DistroKid link & get 7% off your first year 👉 https://distrokid.com/vip/seven/12144941 Song: Pawa Artist: Mbosso Lyric Video: Lyriccwave Credit: Mbosso ... Lyrics: [Instrumental Intro] S2Kizzy, Baby [Verse 1] Kamusi namaliza kurasa kukusifia Matusi naiona BASATA wakinifungia Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia, ah Mjusi ukuta wa plasta na uparamia [Pre-Chorus] Na kama penzi ni chupa la bia Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia Kwa maana we mlezi na unanijulia Hawana hawawezi pakukuibia dear [Chorus] Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa [Instrumental Break] [Verse 2] Nilifeli secondary kwendaga chuo Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo Yeremia mstari nifunue Ufunuo, oh Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo [Bridge] Na kama penzi ni chupa la bia Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia Kwa maana we mlezi na unanijulia Hawana hawawezi pakukuibia dear [Post-Chorus] Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa Pawa, pawa, naishiwa pawa Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa [Instrumental Outro] Ka Mix Lizer #lyriccwave #lyrics #mbosso #pawa