Maelfu ya wahamiaji wahama Afrika Kusini kufuatia chuki dhidi ya wageni huku maandamano yakichacha

Maelfu ya raia wa kigeni wanaendelea kuondoka nchini Afrika Kusini huku hali ya taharuki ikiongezeka kuelekea maandamano dhidi ya wahamiaji yaliyopangwa kufanyika hii leo. Maandamano hayo yamezua hofu kubwa miongoni mwa wageni, wengi wao wakisema wanalazimika kuondoka katika mazingira magumu na yasiyo na uhakika. Baadhi ya wahamiaji wamesema wamechukua uamuzi wa kurejea nchini mwao kutokana na kuhofia usalama wao, huku wengine wakilazimika kuacha jamaa zao nyuma kutokana na hali ya dharura inayowakabili. Katikati mwa mji wa Durban, makundi ya watu yalionekana yakisimamisha raia wanaodhaniwa kuwa wageni, kuwafanyia upekuzi na kukagua nyaraka zao za utambulisho—hatua iliyoongeza wasiwasi kuhusu uwezekano wa baadhi ya watu kujichukulia sheria mkononi. #DWKiswahili #dwhabarimotomoto

GPS: Afrika Kusini hakukaliki! Waingia mtaani kufukuza wageni, June 30 ni mwisho, watakiwa kuondoka
▶︎

GPS: Afrika Kusini hakukaliki! Waingia mtaani kufukuza wageni, June 30 ni mwisho, watakiwa kuondoka

Why are anti-migrant protests growing in South Africa? | Global News Podcast
▶︎

Why are anti-migrant protests growing in South Africa? | Global News Podcast

KATAMBI AFUNGUKA MAZITO, UTEKAJI, MAANDAMANO, MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA JE VIPI LISSU NA POLEPOLE?
▶︎

KATAMBI AFUNGUKA MAZITO, UTEKAJI, MAANDAMANO, MIKUTANO YA VYAMA VYA SIASA JE VIPI LISSU NA POLEPOLE?

Over 200 Ugandans Return from South Africa in Government Evacuation Exercise
▶︎

Over 200 Ugandans Return from South Africa in Government Evacuation Exercise

MHIFADHI ALIVOKABILIANA NA BLACK MAMBA MBUGANI
▶︎

MHIFADHI ALIVOKABILIANA NA BLACK MAMBA MBUGANI

Maombolezi yaanza, kabla ya mazishi rasmi ya Ayatollah Ali Khamenei Iran. Katika Dira ya Dunia TV.
▶︎

Maombolezi yaanza, kabla ya mazishi rasmi ya Ayatollah Ali Khamenei Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

CHADEMA YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUBAINI CHANZO HALISI KIFO CHA DEREVA WA HECHE
▶︎

CHADEMA YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUBAINI CHANZO HALISI KIFO CHA DEREVA WA HECHE

Australien – Ägypten Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Australien – Ägypten Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

E FORTË/ Avokati ZBULON Kolumbinë e Shqipërisë – Ja PROJEKTE që po FUNDOSIN vendin!
▶︎

E FORTË/ Avokati ZBULON Kolumbinë e Shqipërisë – Ja PROJEKTE që po FUNDOSIN vendin!

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Leo Jioni | Julai 03, 2026 | Swahili News
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Leo Jioni | Julai 03, 2026 | Swahili News

MVUTANO MKALI KIFO CHA DEREVA WA HECHE, MHUDUMU wa GESTI ASIMULIA YOTE
▶︎

MVUTANO MKALI KIFO CHA DEREVA WA HECHE, MHUDUMU wa GESTI ASIMULIA YOTE

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

YUGOSLAVIA: Hadithi ya Nchi Kubwa Ambayo leo IMEBAKI STORI!
▶︎

YUGOSLAVIA: Hadithi ya Nchi Kubwa Ambayo leo IMEBAKI STORI!

WANTAM! Sifuna, Orengo, Kang'ata, Babu & other Linda Mwananchi Leaders destroy Ruto in Kisii town
▶︎

WANTAM! Sifuna, Orengo, Kang'ata, Babu & other Linda Mwananchi Leaders destroy Ruto in Kisii town

MIMI NDIO SIFUNA! Listen to Sifuna ELECTRIC remarks in Kisii Linda Mwananchi rally amid split
▶︎

MIMI NDIO SIFUNA! Listen to Sifuna ELECTRIC remarks in Kisii Linda Mwananchi rally amid split

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
▶︎

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Leo Asubuhi | Julai 3, 2026 | Swahili News
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Podcast | Leo Asubuhi | Julai 3, 2026 | Swahili News

LINDA MWANANCHI ROARS IN KISII!!
▶︎

LINDA MWANANCHI ROARS IN KISII!!

WAKE UP WITH BBC KISWAHILI TODAY SATURDAY 7/4/2025
▶︎

WAKE UP WITH BBC KISWAHILI TODAY SATURDAY 7/4/2025

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI
▶︎

MBUNGE PONDEZA AJITOSA KUMSAIDIA KIJANA WA MAKWACHU ALIYEPOOZA MWILI