VETA MWANZA YAPOKEA VIFAA VYA SHILINGI MILIONI 68 TOKA CANADA

Serikali imepokea vifaa vya kufundishia katika chuo cha Veta cha Nyakato jijini Mwanza. Vifaa hivyo ni vya thamani ya Dolla za Canada 40,000 sawa na Shilingi milioni 68 za kitanzania