Kipindi cha Ujuzi ni Maisha Mafunzo kwa madereva wa magari makubwa
Takwimu mbalimbali zinaonyesha kuwa ajali nyingi za barabarani katika ukanda wa Afrika Mashariki zinatokana na kutozingatia sheria za barabarani na hilo huchangiwa kwa kiasi kikubwa na madereva wengi kuendesha magari pasipo kupitia mafunzo stahiki. Tanzania imetunga sheria na taratibu nzuri za vyombo vya usafirishaji na matumizi ya barabara. Miongoni mwa sheria na taratibu hizo ni pamoja udhibiti wa mwendo kasi, kuzuia mtu kuendesha akiwa amelewa na kuhimiza matumizi ya vifaa vya usalama kama mikanda, kofia za ngumu yaani Helmet na hata viti maalumu kwa watoto. Hata hivyo, madereva wengi hawazingatii. VETA inatambua changamoto hiyo na imekuwa ikihimiza mafunzo kwa watumiaji wote wa vyombo vya moto na imekuwa ikitoa mafunzo ya udereva karibu katika kila chuo chake. Katika kipindi hiki tumeangazia Mchango wa VETA juu ya Mafunzo kwa madereva wa magari makubwa yanayotolewa katika chuo cha VETA Kihonda mkoani morogoro.

Mafunzo kwa Madereva wa Magari Makubwa ya Mizigo

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

DRAMA In Parliament As Ndindi Nyoro Badly Clashes With Kimani Ichung'wah Over National Debt!

JE? ENEO GANI SAHIHI KULIPITA GARI LA MBELE YANGU? (OVERTAKING)
![JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]](https://i.ytimg.com/vi/nsNMED63r_o/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBAdv8YWmyFJDW4xOFh72FtTnTfwQ)
JKL interview | Gachagua impeachment judgement [Part 2]

MSICHANA MDOGO ANAYEENDESHA MAGARI MAKUBWA NJE YA NCHI/NISHAZIBA NJIA PORINI/WANAUME WALINISAIDIA

Dada aacha ukondakta na kuamua kuwa dereva wa mitambo (Excavator)

BREAKING: CS Aden Duale set to be arrested any time from now

MAMBO YA KUZINGATIA NDANI YA CHUMBA CHA USAILI WA KAZI/JOB INTERVIEW

Sifa na Ada Mafunzo Ya Udereva Wa Mabasi Na Malori Chuo Cha NIT/ PSV, VIP, HGV na FORKLIFT OPERATOR.

KUTANA NA WITNESS.. DEREVA MWANAMKE WA BASI LA DAR - ARUSHA

David Maraga questions High Court ruling, says Gachagua impeachment should have been annulled

“Foolish King!” Big Blow to Ruto as He Walks Into Gachagua’s Trap

Inside the Charmin Factory: From Wood Logs to Toilet Paper (Full Process)

JIFUNZE UDEREVA WA KUJIHAMI HAPA NEW VISION VTC DRIVING SCHOOL.

ZIJUE ALAMA ZA USALAMA KWENYE GARI LAKO

MADEREVA WA MABASI NA MALORI WANAVYOFUNDISHWA BARABARANI CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT)

JINSI YA KUONDOA GARI INAPOKUA IMESIMAMA KWENYE MLIMA BILA YA KURUDI NYUMA NA KUSABABAISHA AJALI.

START YOUR TUESDAY WITH FAITH | TODAY GOD IS GIVING YOU UNEXPECTED OPPORTUNITIES | FATHER FREDDY ...

