MWANAMKE AFARIKI AKIWA ‘GUEST HOUSE’, ALIINGIA NA MWANAUME, POLISI WASEMA WALIKUTA POMBE, CHIPSI
Mwanza. Mwanamke mmoja ambaye bado hajafahamika, amekutwa amefariki dunia katika chumba cha nyumba ya wageni (guest house) eneo la Usagara Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza. Taarifa ya Kamanda wa Polisi, Wilbrod Mutafungwa iyotolewa jioni ya Machi 19, 2025 imesema mwanamke huyo alikutwa amefariki kwenye chumba namba tatu katika guest hiyo inayojulika kwa jina la First and Last guest. Mutafungwa amesema baada jeshi hilo kufika katika eneo la tukio jana, walibaini Machi 18, 2025 saa 1 jioni alifika mgeni katika nyumba hiyo aliyejiandikisha kwa jina la Bilal William, mkazi wa Geita akitokea Chato kuelekea Nzega mkoani Tabora. Amesema mgeni huyo alipewa chumba namba tatu na kuweka mizigo yake, ilipofika saa nne usiku alitoka chumbani akidai anakwenda kutafuta chakula, na ilipofika usiku mkubwa mwanaume huyo alirudi katika nyumba hiyo ya kulala wageni akiwa na mwanamke. “Inadaiwa kuwa ilipofika saa 12:00 asubuhi wakati wahudumu wa nyumba hiyo ya kulala wageni wakihitaji kufanya usafi ndipo walipokuta mlango wa chumba hicho ukiwa na komeo lililofungwa kwa nje hali hiyo iliwatia mashaka hivyo kufungua kufuli hilo na kuingia ndani, na ndipo walipooana kuna mwanamke asiyefahamika kwa jina amefungwa usoni kwa kitambaa pamoja na mikwaruzo usoni mwake huku akiwa uchi na mwanaume akiwa haonekani,”amesema Mutafungwa Amesema mwili wa marehemu umepelekwa Hospitali ya Wilaya ya Misungwi kwa ajili wa uchunguzi licha ya kuwa bado haujatambulika hadi sasa. Imeandikwa na Mgongo Kaitira.

OBUBBI BW’AMASIMU: Poliisi ekoze ekikwekweto mu Kampala, ezudde amasimu amabbe

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

Watu wawili wadaiwa kupoteza sehemu zao za siri Mombasa

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

NIGERIA: Our Second Day Started BAD

How One Man Held a State Hostage – Until Police Struck Back

OKELLO KU KALABBA, ABAZADDE BA BAANA BAMUWADDEKO OBUJJULIZI

JANITOR vs THE BIGGEST GUY IN THE GYM. HE Didn’t Expect THAT

SITA WAFARIKI AJALI YA BASI NA LORI KAHAMA, WATANO WAJERUHIWA

🚨 URGENT Arrestation des faux policiers 😱 Le réseau enfin démantelé !

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

DC SIHA AFUNGUKA KUHUSU VURUGU ZILIZOTOKEA KWENYE MAZISHI, JENEZA KUWEKWA KWENYE GARI LAKE
![🔴#LIVE [21.06.2026] OPERATION KOMBOA FAMILIA (MAOMBI 12)](https://i.ytimg.com/vi/0u1Jl_Rhd88/hqdefault.jpg?v=6a382a03&sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBa8bYDWT7e9mqiacORed9M1xJ8Ow)
🔴#LIVE [21.06.2026] OPERATION KOMBOA FAMILIA (MAOMBI 12)

#Live: BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA MOJA JUNI 17, 2026

AJALI YAUA 4 NA KUJERUHI 16 KOROGWE

This African Man’s A.I Prosthetics Shocked U.S Engineers - BYE BYE DISABILITIES!

WAKAZI WA KIJIJI CHA BULATI WAKIPOKEA MH MBUNGE WA JIMBO LA NGORONGORO AKIWA KONYE ZIARA YAKE

HILI NDILO NENO LAKE LA MWISHO AMBALO ALIMWAMBIA MUME WAKE WAKIWA PAMOJA JIKONI NA GAFLA AKAANGUKA

ZIJUE AINA ZA NDIZI NA MASOKO YAKE

