DC SIHA AFUNGUKA KUHUSU VURUGU ZILIZOTOKEA KWENYE MAZISHI, JENEZA KUWEKWA KWENYE GARI LAKE

Wakati mwili wa kijana Emmanuel Mwandry(20) ukizikwa chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi saa 2:30 usiku jana baada ya kuibuka vurugu katika mazishi yake, Mkuu wa wilaya ya Siha, Mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amefunguka na kusimulia kilichotokea. Vurugu hizo zilitokana na madai ya kukamatwa kwa madereva wenzao mjini Moshi ambao walikuwa kwenye msafara wa kwenda kuchukua mwili hospitali ya Rufaa ya kanda ya Kaskazini, KCMC. Kutokana na vurugu hizo madereva hao wa bodaboda walizuia shughuli za mazishi kuendelea nyumbani kwa wazazi wa marehemu hadi usiku ndipo mkuu wa wilaya hiyo alipolazimika kufika msibani hapo na kutuliza vurugu hizo bila mafanikio.

Bodaboda wagoma kuzika,Waweka Jeneza Juu ya Gari la DC
▶︎

Bodaboda wagoma kuzika,Waweka Jeneza Juu ya Gari la DC

TAHARUKI ZATOKEA MSIBANI SIHA,JENEZA JUU YA GARI LA DC,  MABOMU YAPIGWA.
▶︎

TAHARUKI ZATOKEA MSIBANI SIHA,JENEZA JUU YA GARI LA DC, MABOMU YAPIGWA.

FLY OVER YAFIKA ARUSHA, MBUNGE MAKONDA AWEKA WAZI MIPANGO KAZI.
▶︎

FLY OVER YAFIKA ARUSHA, MBUNGE MAKONDA AWEKA WAZI MIPANGO KAZI.

The Burdens Men Carry: The Need For Safe Spaces
▶︎

The Burdens Men Carry: The Need For Safe Spaces

#live  BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA MBILI JUNI 18, 2026
▶︎

#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA MBILI JUNI 18, 2026

Muhongo apendekeza sekta saba kukuza uchumi wa Tanzania
▶︎

Muhongo apendekeza sekta saba kukuza uchumi wa Tanzania

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food
▶︎

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

INSIDE THE G7 BREAK  | Meloni’s BODY LANGUAGE toward Trump STEALS THE SHOW
▶︎

INSIDE THE G7 BREAK | Meloni’s BODY LANGUAGE toward Trump STEALS THE SHOW

Ghana vs. Panama Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau
▶︎

Ghana vs. Panama Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

🔴UPDATE: COL RUGABO AVUZE KU NDEGE YA SUKHOI YAGUYE MURI TANGAYIKA // AHO IMIRWANO IGEZE MU MINEMBWE
▶︎

🔴UPDATE: COL RUGABO AVUZE KU NDEGE YA SUKHOI YAGUYE MURI TANGAYIKA // AHO IMIRWANO IGEZE MU MINEMBWE

MVUTANO MKALI: ADO vs BULAYA watupiana MANENO "ulikuwa CHADEMA lini umeijua CCM"
▶︎

MVUTANO MKALI: ADO vs BULAYA watupiana MANENO "ulikuwa CHADEMA lini umeijua CCM"

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

BAADA ya HUKUMU ya POLISI KUNYONGWA: BABA wa MAREHEMU AMPONGEZA RAIS SAMIA na KUMWOMBA MWIGULU HAKI
▶︎

BAADA ya HUKUMU ya POLISI KUNYONGWA: BABA wa MAREHEMU AMPONGEZA RAIS SAMIA na KUMWOMBA MWIGULU HAKI

England vs. Croatia FIFA World Cup 2026 Highlights | Sportschau
▶︎

England vs. Croatia FIFA World Cup 2026 Highlights | Sportschau

RUTO IN BIG SHOCK AFTER MPs CAUSE DRAMA REJECTING FINANCE BILL IN PARLIAMENT!!!
▶︎

RUTO IN BIG SHOCK AFTER MPs CAUSE DRAMA REJECTING FINANCE BILL IN PARLIAMENT!!!

Usbekistan – Kolumbien  Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Usbekistan – Kolumbien  Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

CHAOS IN OYO! Moment Suspected Thugs Stormed VDM & Ratel Protest — What Happened Next Shock Everyone
▶︎

CHAOS IN OYO! Moment Suspected Thugs Stormed VDM & Ratel Protest — What Happened Next Shock Everyone

Inside A 325 MILLION KSH Private Jet  In Kenya - Falcon 200
▶︎

Inside A 325 MILLION KSH Private Jet In Kenya - Falcon 200

HECHE ALITAKA JESHI LA POLISI KUSEMA ALIPO IBRAHIM MYOVELA
▶︎

HECHE ALITAKA JESHI LA POLISI KUSEMA ALIPO IBRAHIM MYOVELA

Ronaldo muss einstecken, England liefert Show | Highlights FIFA WM 2026 | Sportschau
▶︎

Ronaldo muss einstecken, England liefert Show | Highlights FIFA WM 2026 | Sportschau