DC SIHA AFUNGUKA KUHUSU VURUGU ZILIZOTOKEA KWENYE MAZISHI, JENEZA KUWEKWA KWENYE GARI LAKE
Wakati mwili wa kijana Emmanuel Mwandry(20) ukizikwa chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi saa 2:30 usiku jana baada ya kuibuka vurugu katika mazishi yake, Mkuu wa wilaya ya Siha, Mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amefunguka na kusimulia kilichotokea. Vurugu hizo zilitokana na madai ya kukamatwa kwa madereva wenzao mjini Moshi ambao walikuwa kwenye msafara wa kwenda kuchukua mwili hospitali ya Rufaa ya kanda ya Kaskazini, KCMC. Kutokana na vurugu hizo madereva hao wa bodaboda walizuia shughuli za mazishi kuendelea nyumbani kwa wazazi wa marehemu hadi usiku ndipo mkuu wa wilaya hiyo alipolazimika kufika msibani hapo na kutuliza vurugu hizo bila mafanikio.

▶︎
Bodaboda wagoma kuzika,Waweka Jeneza Juu ya Gari la DC

▶︎
TAHARUKI ZATOKEA MSIBANI SIHA,JENEZA JUU YA GARI LA DC, MABOMU YAPIGWA.

▶︎
FLY OVER YAFIKA ARUSHA, MBUNGE MAKONDA AWEKA WAZI MIPANGO KAZI.

▶︎
The Burdens Men Carry: The Need For Safe Spaces

▶︎
#live BUNGE LA KUMI NA TATU, MKUTANO WA TATU, KIKAO CHA HAMSINI NA MBILI JUNI 18, 2026

▶︎
Muhongo apendekeza sekta saba kukuza uchumi wa Tanzania

▶︎
Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

▶︎
INSIDE THE G7 BREAK | Meloni’s BODY LANGUAGE toward Trump STEALS THE SHOW

▶︎
Ghana vs. Panama Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

▶︎
🔴UPDATE: COL RUGABO AVUZE KU NDEGE YA SUKHOI YAGUYE MURI TANGAYIKA // AHO IMIRWANO IGEZE MU MINEMBWE

▶︎
MVUTANO MKALI: ADO vs BULAYA watupiana MANENO "ulikuwa CHADEMA lini umeijua CCM"

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
BAADA ya HUKUMU ya POLISI KUNYONGWA: BABA wa MAREHEMU AMPONGEZA RAIS SAMIA na KUMWOMBA MWIGULU HAKI

▶︎
England vs. Croatia FIFA World Cup 2026 Highlights | Sportschau

▶︎
RUTO IN BIG SHOCK AFTER MPs CAUSE DRAMA REJECTING FINANCE BILL IN PARLIAMENT!!!

▶︎
Usbekistan – Kolumbien Highlights | Gruppe K, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
CHAOS IN OYO! Moment Suspected Thugs Stormed VDM & Ratel Protest — What Happened Next Shock Everyone

▶︎
Inside A 325 MILLION KSH Private Jet In Kenya - Falcon 200

▶︎
HECHE ALITAKA JESHI LA POLISI KUSEMA ALIPO IBRAHIM MYOVELA

▶︎
