BODI YA KOROSHO TANZANIA YATOA VITI NA MEZA KWA SHULE YA SEKONDARI BANDARI MTWARA

Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania, Francis Alfred, Mei 28,2026 ametoa msaada wa viti vitano (5) na meza tano (5) vyenye thamani ya shilingi 560,000.00/= kwa Shule ya Sekondari Bandari iliyopo Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya mchango wa taasisi hiyo katika kusaidia mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi. Vifaa hivyo vilipokelewa na Mkuu wa Shule ya Sekondari Bandari, Bw. Mbaraka Ally Chimela, kwa kushirikiana na Mwalimu wa Matengenezo na Vifaa wa shule hiyo, Mwalimu Ally Mohamed Mzee, ambao walieleza shukrani zao kwa Bodi ya Korosho Tanzania kwa kuguswa na mahitaji ya shule hiyo.

MATAIFA 11 YASHIRIKI MAFUNZO YA MNYORORO WA THAMANI WA ZAO LA KOROSHO - MTWARA
▶︎

MATAIFA 11 YASHIRIKI MAFUNZO YA MNYORORO WA THAMANI WA ZAO LA KOROSHO - MTWARA

MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO KUIMARISHA UZALISHAJI WA KOROSHO
▶︎

MAAFISA UGANI WAPATIWA MAFUNZO KUIMARISHA UZALISHAJI WA KOROSHO

BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA
▶︎

BANDARI YA MTWARA YENYE GATI YA UKUBWA MITA 300, MELI KUBWA ZATIA NANGA

UZALISHAJI, UBANGUAJI NA MASOKO YA KOROSHO
▶︎

UZALISHAJI, UBANGUAJI NA MASOKO YA KOROSHO

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Wakulima waeleza namna walivyonufaika na pembejeo za ruzuku zilizotolewa na Serikali.
▶︎

Wakulima waeleza namna walivyonufaika na pembejeo za ruzuku zilizotolewa na Serikali.

WAITARA AIBUA MAPYA KUHUSU FATMA KARUME/AMEWANDANGA WENGI"YULE KIJANA NI MUONGO NA MBINAFSI"
▶︎

WAITARA AIBUA MAPYA KUHUSU FATMA KARUME/AMEWANDANGA WENGI"YULE KIJANA NI MUONGO NA MBINAFSI"

Wakulima MAMCU wameuza kilo 35,445,155 kwa bei ya juu shilingi 2,510.
▶︎

Wakulima MAMCU wameuza kilo 35,445,155 kwa bei ya juu shilingi 2,510.

Mwenendo wa mauzo ya korosho msimu wa 2025/2026
▶︎

Mwenendo wa mauzo ya korosho msimu wa 2025/2026

BREAKING: CS Aden Duale set to be arrested any time from now
▶︎

BREAKING: CS Aden Duale set to be arrested any time from now

ZOEZI LA USAMBAZAJI PEMBEJEO ZA RUZUKU LAZINDULIWA RASMI
▶︎

ZOEZI LA USAMBAZAJI PEMBEJEO ZA RUZUKU LAZINDULIWA RASMI

MAPYA UWEKEZAJI BANDARI YA MTWARA,TPA WAFUNGUKA SHEHENA INAYOSHUKA BANDARINI
▶︎

MAPYA UWEKEZAJI BANDARI YA MTWARA,TPA WAFUNGUKA SHEHENA INAYOSHUKA BANDARINI

WATAALAM WAELEZA UFANISI WA MAAFISA KILIMO WA BBT
▶︎

WATAALAM WAELEZA UFANISI WA MAAFISA KILIMO WA BBT

#TBC1: USANIFU WA BANDARI MPYA YA MBAMBA BAY NA MAKAO MAKUU YA BANDARI ZA ZIWA NYASA
▶︎

#TBC1: USANIFU WA BANDARI MPYA YA MBAMBA BAY NA MAKAO MAKUU YA BANDARI ZA ZIWA NYASA

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.
▶︎

RC MRINDOKO AIPONGEZA TANGANYIKA DC KWA KUTENGA ENEO LA MAONESHO YA NANENANE.

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY
▶︎

GOOSEBUMPS! THE WORLD STOPPED TO WATCH MOROCCO BEAT BRAZIL FOR THE FIRST TIME IN HISTORY

Echoes of Zulu 🌙 African Night Music for Sleep, Relax & Peace
▶︎

Echoes of Zulu 🌙 African Night Music for Sleep, Relax & Peace

BILIONI 18.6 ZATUMIKA MABORESHO NA UPANUZI WA BANDARI YA MWANZA KASKAZINI
▶︎

BILIONI 18.6 ZATUMIKA MABORESHO NA UPANUZI WA BANDARI YA MWANZA KASKAZINI

SHULE YA MTWARA GIRLS YASHIKA NAMBA 47 KATI YA SHULE 900 TANZANIA| MKURUGENZI NYANGE AWAPONGEZA.
▶︎

SHULE YA MTWARA GIRLS YASHIKA NAMBA 47 KATI YA SHULE 900 TANZANIA| MKURUGENZI NYANGE AWAPONGEZA.