UCHAMBUZI: Sheria Inasemaje? Watu 5 Kunyongwa Waliomuua Bilionea MSUYA
UCHAMBUZI: Sheria Inasemaje? Watu 5 Kunyongwa Waliomuua Bilionea MSUYA MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, imewahukumu kunyongwa hadi kufa washitakiwa watano baada ya kukutwa na hatia ya kumuua kwa makusudi aliyekuwa mfanyabiashara wa Arusha na Mirerani mkoani Manyara, Erasto Msuya. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni mshitakiwa wa kwanza, Sharifu Mohamed; mshitakiwa wa tatu, Mussa Mangu; wa tano, Karim Kuhundwa; wa sita Sadick Mohamed na wa saba; Ally Mussa Majeshi. Hukumu hiyo imetolewa leo Julai 23, 2018 na Jaji Salma Maghimbi aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo. Aidha, Mahakama imemwachia huru mshitakiwa wa pili, Shwaibu Jumanne baada ya kukosekana ushahidi dhidi yake. Install GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

MAPYA: SHAHIDI MAMA NTILIE ADAI KUMTAMBUA ANAYEDAIWA KUMUUA MDOGO WA BILIONEA MSUYA "ALITOA BASTOLA"

BILLIONAIRE MANGA DRIVER EXPLAINS HOW HE QUIT HIS JOB AFTER EARNING 48 MILLION AND AN APARTMENT...

Uchambuzi: Hoja za ushindi wa Mke wa Bilionea Msuya Mahakamani kesi ya mauaji

KESI YA MAUAJI: MUUZA CHIPSI, MWANAFUNZI ATOA USHAHIDI NA KUWEKA WAZI "ALINIPA FUNGUO"

Serikali yaingilia kati mgogoro wa familia ya bilionea Msuya

MNYUKANO MALI ZA BILIONEA MSUYA: DADA AUMBULIWA MBELE YA DC MURO "HUJAMSOMESHA"

MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!

MAJIBU YA MKE WA BILIONEA MSUYA MAHAKAMANI "SIKUMBUKI IDADI YA MAGARI,ASKARI WALICHUKUA VITU VYANGU"

Kibatala afunguka baada ya kushinda kesi asema ' watu wa Arusha nimewaletea dada yenu hatudaiani'

PART 1: "MKE NA WATOTO WANGU 2 WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA" - DAKTARI AMWAGA MACHOZI AKISIMULIA..

Watoto wa bilionea Msuya waiomba serikali kuwasaidia kupata mali zao.

EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGA

MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAANZA KURUDISHWA KWA WATOTO NA SERIKALI

HUYU HAPA WAKILI KIBATALA ALIYEMTOA GEREZANI MKE WA BILIONEA MSUYA NA MWENZAKE

Wauwaji wa bilionea Msuya wahukumiwa kunyongwa hadi kufa

SHEMEJI WA BILIONEA MSUYA AZIKATAA MALI, MTOTO ALIPUKA "HAWANIPENDI HAWA"

MAMA WA BILIONEA MSUYA AGOMA KUONDOA KESI MAHAKAMANI,MTOTO AONGEA

MAUAJI YA MDOGO WA BILIONEA MSUYA, SHAHIDI AONYESHA DAMU MAHAKAMANI "SIJUI MATONE YA 2016"

DADA WA BILIONEA MSUYA Aangua KILIO "Nilikua Na Pesa Kabla Ya MSUYA"

