Kibatala afunguka baada ya kushinda kesi asema ' watu wa Arusha nimewaletea dada yenu hatudaiani'
Cheza sasa kupiti https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Wakili wa Miriam Mrita katika kesi ya mauaji ya Aneth Msuya, Peter Kibatala amesema Mahakama Kuu imekubaliana nao kwamba upande wa mashtaka wameshindwa kuthibitisha mashkata dhidi ya washtakiwa wote wawili hivyo kuwaachia huru Kibatala Amesema watu wa Arusha wakae tayari kumpokea dada yao anaewaleta. Kibatala ametoa kauli hiyo leo Februari 23, 2024 baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Saalam kuwaachia huru mjane wa Bilionea Msuya, Miriam Mrita na mwenzake Revocatis Muyella waliokuwa wakikabiliwa na shitaka moja la mauaji ya Aneth Msuya
