Nilishauriwa ‘kuzaa’ mapema ili kupona ugonjwa wa Endometriosis

Ritha Mwambene, Mtanzania ambaye akiwa na umri wa miaka 18 alianza kupata dalili za maumivu yasiyo ya kawaida tangu alipopata hedhi kwa mara ya kwanza. #bbcswahili #waridiwabbc #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili    / @bbcnewsswahili