MAINJINIA WA HALMASHAURI WAMCHUKIZA NAIBU WAZIRI SILINDE KWA KUWAPOTOSHA WALIMU WAKUU

Naibu waziri wa TAMISEMI David Silinde amesema Wahandisi wa halmashauri nchini wanaongoza kwa kuikosea serikali kwa kushauri vibaya kitaalam katika miradi ya ujenzi kwakuweka gharama za juu zaidi hali inayopelekea kutokukamilika kwa miradi kutokana na kutokufuta bajeti inayopangwa na serikali kuu. Naibu waziri Silinde amesema hayo baada ya kutembelea miradi ya ujenzi wa mabweni katika halmashauri za Bariadi na Itilima mkoa wa Simiyu na kukuta haujakamilika huku wakilalamikiwa waandisi kwa kutoa makisio ya bei za juu ya ujenzi kuliko makisio yaliyotolewa na ofisi ya Tamisemi. "Nimepita katika halmashauri zingine gharama ile tuliyotoa ya milion 80 imemaliza ujenzi sababu walimu wakuu walibana matumizi,lakini wengi walioshindwa kumaliza walifata ushauri wa waandisi ambao uliwapotosha na kuweka gharama kubwa zaidi na kufanya walimu kuingia matatizoni kwa matumizi mabaya ya fedha hali iliyopelekea kuwasimamisha nyadhifa zao" Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Bariadi Festo Kiswaga amemuhaidi naibu waziri Silinde kua mpaka ifikapo mwezi wa tano majengo yote ya mabweni yatakua yamekamilika kwa fedha za ndani baada ya fedha walizoletewa na serikali katika shule mbili wilayani kwake kwa ujenzi wa mabweni milion 160 kuisha. Katika hatua nyingine Naibu waziri Silinde amewaagiza wakuu wa shule za Itilima sekondari, Bariadi sekondari,Nyasosi sekondari na maafisa elimu sekondari wilaya ya Bariadi na Itilima kuandika barua ndani ya siku ya kwanini wamechelewa kumaliza ujenzi na lini watakamalisha ujenzi huo na wakishindwa basi atawavua nyadhifa zao

NAIBU WAZIRI SILINDE  AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA SHULE NALIENDELE..
▶︎

NAIBU WAZIRI SILINDE AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA SHULE NALIENDELE..

WAKILI WA MFANYABIASHARA GHALIB SAID MOHAMED (GSM) AFUNGUKA KUHUSU SEKESEKE LA UMILIKI WA KIWANJA
▶︎

WAKILI WA MFANYABIASHARA GHALIB SAID MOHAMED (GSM) AFUNGUKA KUHUSU SEKESEKE LA UMILIKI WA KIWANJA

RC ACHAFUKWA, ATIMUA MAFUNDI WAKIWA SITE, AGUNDUA UDANGANYIFU BAADA YA KUSIKIA ANAKUJA
▶︎

RC ACHAFUKWA, ATIMUA MAFUNDI WAKIWA SITE, AGUNDUA UDANGANYIFU BAADA YA KUSIKIA ANAKUJA

MKURUGENZI AMVAA MFANYABIASHARA CHAMBULO "ANADAIWA MILIONI 267, ASIPOTOSHE"
▶︎

MKURUGENZI AMVAA MFANYABIASHARA CHAMBULO "ANADAIWA MILIONI 267, ASIPOTOSHE"

"NIKIWAFUNGA Mtaona NAWAONEA, WAONGO, MTAJUA MIMI ni NANI" - NAIBU WAZIRI SILINDE..
▶︎

"NIKIWAFUNGA Mtaona NAWAONEA, WAONGO, MTAJUA MIMI ni NANI" - NAIBU WAZIRI SILINDE..

JAMAA AMEPIGIWA SIMU NA RC HAPI ''SINA PESA, SIMU YENYEWE NI YA MKE WANGU''
▶︎

JAMAA AMEPIGIWA SIMU NA RC HAPI ''SINA PESA, SIMU YENYEWE NI YA MKE WANGU''

NAIBU WAZIRI SILINDE - "HII KAZI NAIWEZA, NITAWEKA REKODI NA HAITAVUNJWA NA MBUNGE YEYOTE"
▶︎

NAIBU WAZIRI SILINDE - "HII KAZI NAIWEZA, NITAWEKA REKODI NA HAITAVUNJWA NA MBUNGE YEYOTE"

NIKIKUVUA MADARAKA NITAKUWA NIMEKOSEA, TUMEKUAMBIA TUMIA MILIONI 80 - NAIBU WAZIRI DAVID SILINDE
▶︎

NIKIKUVUA MADARAKA NITAKUWA NIMEKOSEA, TUMEKUAMBIA TUMIA MILIONI 80 - NAIBU WAZIRI DAVID SILINDE

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.
▶︎

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

"HUYU NI MWIZI KAMA WEZI WENGINE, POLISI ONDOKENI NAE" - NAIBU WAZIRI SILINDE
▶︎

"HUYU NI MWIZI KAMA WEZI WENGINE, POLISI ONDOKENI NAE" - NAIBU WAZIRI SILINDE

DKT MPANGO AMGEUKIA NAIBU WAZIRI SILINDE NA KUMPA MAAGIZO HAYA, WANANCHI WASHANGILIA
▶︎

DKT MPANGO AMGEUKIA NAIBU WAZIRI SILINDE NA KUMPA MAAGIZO HAYA, WANANCHI WASHANGILIA

Maamuzi ya Nape Nnauye baada ya Clouds kuvamiwa
▶︎

Maamuzi ya Nape Nnauye baada ya Clouds kuvamiwa

Ahadi hewa za Ruto? Hali ya uwanja wa Masinde Muliro yaendelea kudorora ajabu
▶︎

Ahadi hewa za Ruto? Hali ya uwanja wa Masinde Muliro yaendelea kudorora ajabu

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB
▶︎

Rais Mwinyi leo amtumbua Mkurugenzi wa ZRB

THIS MAN! Listen to Edwin Sifuna's Speech at a Church in Thika today ahead of their rally!!
▶︎

THIS MAN! Listen to Edwin Sifuna's Speech at a Church in Thika today ahead of their rally!!

MAAJABU... WAZIRI DKT. BASHIRU APATA KIGUGUMIZI SWALI LA MBUNGE, TAZAMA KILICHOTOKEA
▶︎

MAAJABU... WAZIRI DKT. BASHIRU APATA KIGUGUMIZI SWALI LA MBUNGE, TAZAMA KILICHOTOKEA

MBWEMBWE ZA PROF. KABUDI MBELE YA RAIS MAGUFULI
▶︎

MBWEMBWE ZA PROF. KABUDI MBELE YA RAIS MAGUFULI

Bwege, Wabunge kama Mbumbumbu Kila Kitu Ndio/Wabunge Wapigwa Ganzi/CCM Itashinda Kama Itafanya Hivi.
▶︎

Bwege, Wabunge kama Mbumbumbu Kila Kitu Ndio/Wabunge Wapigwa Ganzi/CCM Itashinda Kama Itafanya Hivi.

BUNGE - JULY.03.2015| TBC
▶︎

BUNGE - JULY.03.2015| TBC

"SOMBA WOTE WANAOFANANIA NA WIZI WEKA NDANI" - RC MWANRI
▶︎

"SOMBA WOTE WANAOFANANIA NA WIZI WEKA NDANI" - RC MWANRI