NAIBU WAZIRI SILINDE AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA SHULE NALIENDELE..
NAIBU WAZIRI SILINDE AMSIMAMISHA KAZI MKUU WA SHULE NALIENDELE.. Naibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amemsimamisha kazi mkuu wa shule ya sekondari ya Naliendele Halidi Mchanga kwa kushindwa kukamilisha mradi wa bweni na bwalo la chakula katika shule hiyo hiyo kwa wakati huku fedha walizopewa na serikali zimeisha na ujenzi ukiwa bado haujakamilika. Naibu waziri Silinde amechukua uamuzi huo baada ya kutembelea shule hiyo iliyopo katika halmashauri ya manispaa ya Mtwara Mikindani mkoa wa Mtwara na kukuta matumizi mabaya ya fedha ambazo zilipaswa ujenzi huo uwe umekamilika toka mwishoni mwaka mwaka jana 2020 lakini umesimama baada ya fedha zote milion 180 zikiwa zimeisha huku majengo hayo yakiwa yamesimama. ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT AMAZON: https://www.amazon.com/shop/globaltvo... ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2 ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

"NIKIWAFUNGA Mtaona NAWAONEA, WAONGO, MTAJUA MIMI ni NANI" - NAIBU WAZIRI SILINDE..

WAZIRI MKUU MWIGULU AWASIMAMISHA WATOTO WAKE WAWILI JUKWAANI - SIKIA WALICHOKIONGEA...

MAINJINIA WA HALMASHAURI WAMCHUKIZA NAIBU WAZIRI SILINDE KWA KUWAPOTOSHA WALIMU WAKUU

Ziara ya Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe David Silinde katika Kiwanda cha Alliance Ginneries

"HUYU NI MWIZI KAMA WEZI WENGINE, POLISI ONDOKENI NAE" - NAIBU WAZIRI SILINDE

NIKIKUVUA MADARAKA NITAKUWA NIMEKOSEA, TUMEKUAMBIA TUMIA MILIONI 80 - NAIBU WAZIRI DAVID SILINDE

ANUSURIKA KUFA NALIENDELE MTWARA AKIWA KWENYE LINDO

NAIBU WAZIRI SILINDE - "HII KAZI NAIWEZA, NITAWEKA REKODI NA HAITAVUNJWA NA MBUNGE YEYOTE"

#TBC1: USANIFU WA BANDARI MPYA YA MBAMBA BAY NA MAKAO MAKUU YA BANDARI ZA ZIWA NYASA

DKT MPANGO AMGEUKIA NAIBU WAZIRI SILINDE NA KUMPA MAAGIZO HAYA, WANANCHI WASHANGILIA

WAZIRI JAFO APOKEA SIMU YA MTEJA ''HAPA NI TAMISEMI TUKUSAIDIE NINI''

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

NAIBU WAZIRI MAMBO YA NDANI AFANYA ZIARA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA

NOMA! SILINDE Apigiwa SHANGWE CCM/ POLEPOLE AMWAGIA SIFA KIBAO/ Wanachama wa CHADEMA Watupa KADI

Jafo: Wanaonicheka leo kesho watanielewa

MREMA AWAONYA WATOTO WAKE WASIMUINGILIE KWENYE MALI ZAKE - "MKE WANGU NITAMPA TU"

A Giant Catch, A Happy Family ❤️ Cooking Delicious Dishes With My Children After a Long Day

أذكار الصباح - راحة نفسية لا توصف بصوت القارئ علاء عقل | Morning Athkar - Dzkir Pagi by Alaa Aql

Gachagua was impeached and was not given a fair hearing - David Maraga

