KUPAMBANA NA VIZUIZI VYA HATMA KWA WATOTO WETU

Bwana Yesu asifiwe. Nakukaribisha katika somo hili zuri, ambalo Bwana amempa kibali mtumishi wake Mwl: Mathias Budodi, ili kutufunulia hila na njama ovu ambazo adui huzipitisha katika kupambana na hatma za watoto wetu. Karibu tujifunze pamoja.