NGUVU YA MANENO TUNAYO TAMKA

Kama jinsi Mungu alivoumba vitu vyote kwa kutamka. Nasisi tumepewa uwezo wa kutamka na kile tulicho kitamka kikawa vilevile tulivyo kikusudia. Hivyo basi ipo Nguvu katika maneno tunayo tamka, ijue nguvu hiyo na jinsi matamko yafanyavyo kazi.