Mkuu wa Shule ya KISIMIRI Apewa MAPOKEZI YA KIHISTORIA Dar/Apewa TUZO

Mkuu wa Shule ya KISIMIRI Apewa MAPOKEZI YA KIHISTORIA Dar/Apewa TUZO MKUU wa Shule ya Sekondari Kisimiri Arusha, Valentino Tarimo, leo amekabidhiwa cheti baada ya shule yake kuibuka kidedea kwa kufaulisha na kuwa ya kwanza nchini katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka huu. Mwalimu Tarimo amekabidhiwa Tuzo ya Shukrani na Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho kwa niaba ya Global Radio leo baada ya kupokelewa kishujaa na wafanyakazi wa kampuni ya Global Group alipofika ofisini kwao kufuatia mwaliko aliopewa na uongozi wa kampuni hiyo. Meneja Mrisho alimsifu Tarimo na timu yake kwa kuwafanya wanafunzi hao kuongoza katika ufaulu kitaifa na kuifanya shule yao kuwa ya kwanza. #KISIMIRI#GLOBALTV#GLOBALRADIO https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho