Mkuu wa Shule ya KISIMIRI Apewa MAPOKEZI YA KIHISTORIA Dar/Apewa TUZO
Mkuu wa Shule ya KISIMIRI Apewa MAPOKEZI YA KIHISTORIA Dar/Apewa TUZO MKUU wa Shule ya Sekondari Kisimiri Arusha, Valentino Tarimo, leo amekabidhiwa cheti baada ya shule yake kuibuka kidedea kwa kufaulisha na kuwa ya kwanza nchini katika matokeo ya Kidato cha Sita mwaka huu. Mwalimu Tarimo amekabidhiwa Tuzo ya Shukrani na Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho kwa niaba ya Global Radio leo baada ya kupokelewa kishujaa na wafanyakazi wa kampuni ya Global Group alipofika ofisini kwao kufuatia mwaliko aliopewa na uongozi wa kampuni hiyo. Meneja Mrisho alimsifu Tarimo na timu yake kwa kuwafanya wanafunzi hao kuongoza katika ufaulu kitaifa na kuifanya shule yao kuwa ya kwanza. #KISIMIRI#GLOBALTV#GLOBALRADIO https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho

IRENE UWOYA AOMBA RADHI HADHARANI, ISHU YA KUWAKOSEA WAANDISHI WA HABARI..

Wanafunzi waingia chaka maswali ya #Skonga shule ya Enaboishu

KISIMIRI yaweka REKODI MPYA kidato cha 4 / Sio rahisi MATOKEO haya kuyasikia shule ya Kata.

'BANGI YA MBUNGE' YAZUA BALAA BUNGENI " TULIME HARAKA KABLA BEI HAIJAPOROMOKA"

Mkuu chuo cha KCMC atunukiwa tuzo ya heshima

Kisimiri 2014

MAKALA MAALUM YA DARAJA LA J.P. MAGUFULI

MWENYEKITI ATAKA KUMPELEKA RAIS SAMIA KWENYE SHAMBA KUBWA LA BANGI - ''IKIDONDOKA CHINI INAOTA''

Ijue Siri ya Mafanikio ya Kisimiri Sekondari

Shule ya Sekondari Mrisho Gambo yaanza masomo

MZEE WA GIZA_EP16

Hali ya Shule ya Sekondary ya Ilboru

P5 YA KAYUMBA NYAMWASA IRI KU RUGAMBA MU MINEMBWE || IMIRWANO YUBUYE MU ISURA NSHYA.

Jeshi la Kisimiri Secondary

MKUU WA SHULE KISIMIRI AAMUA KIVINGINE KUHUSU MSHAHARA WAKE KISA MATOKEO "BORA WAKALALA NJAA".

NGARENANYUKI SECONDARY SCHOOL-ARUSHA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Siri ya Shule ya Kisimiri kuongoza matokeo kidato cha 6, 2020

BABA MZAZI wa Q CHIEF AZUNGUMZIA UCHIFU wa MWANAYE - ''NDOA ZINGINE ALIKURUPUKA''...

