Mkuu chuo cha KCMC atunukiwa tuzo ya heshima

Mkuu wa Chuo cha Watoa Tiba kwa Vitendo nchini (The School of Ocupational Theraphy KCMC) kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro, Bi.Sarah Mkenda ametunukiwa Tuzo heshima ili kutambua mchango wake wa kuendeleza sekta hiyo. Awali tuzo hiyo ilikuwa ikishikiliwa na mwasisi wa chuo hicho, Bi.Herma Grossmann tangu mwaka 2004 hadi mwaka huu. Aidha Bi.Grossman pia amemkabidhi Bi.Mkenda Medali ya Shaba aliyotunukiwa na chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Duniani (World Federation of Occupational Therapists) ambapo naye atamkabidhi mtoa tiba kwa vitendo nchini atakayetoa mchango mkubwa katika sekta hiyo. Mkenda amekabidhiwa Tuzo na Medali hiyo hii leo Jijini Mwanza kwenye kilele cha Kongamano la Chama cha Watoa Tiba kwa Vitendo Tanzania TOTA, lililoanza juzi Novemba 29 likitanguliwa na huduma ya ushauri na tiba kwa vitendo kwa wananchi bure. Watoa tiba kwa vitendo ni wataalamu wa afya wanaotoa ushauri na matibabu ya viungo kwa walemavu kwa kutumia vitendo/ mazoezi ambapo watu wenye ulemavu hususani wenye ulemavu wa viungo na akili wakipata tiba hiyo mapema hupata ahueni na uwezo wa kuendelea na shughuli zao za kila siku kama kawaida.

LIVE: BONANZA LA WANYAKAZI WA TANESCO MKOA WA MWANZA
▶︎

LIVE: BONANZA LA WANYAKAZI WA TANESCO MKOA WA MWANZA

KCMC wafunguka wanavyohangaika kumtafuta muuguzi aliyetoweka
▶︎

KCMC wafunguka wanavyohangaika kumtafuta muuguzi aliyetoweka

🔴#LIVE: MAKAMISHNA WASTAAFU WA JESHI LA POLISI WANAAGWA CHUO CHA POLISI MOSHI
▶︎

🔴#LIVE: MAKAMISHNA WASTAAFU WA JESHI LA POLISI WANAAGWA CHUO CHA POLISI MOSHI

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

#FAHAMU KILIMO CHA KAHAWA | SHAMBA DARASA | JINSI YA KUPANDA KWA VIPIMO | MBOLEA KUPANDIA NA KUKUZIA
▶︎

#FAHAMU KILIMO CHA KAHAWA | SHAMBA DARASA | JINSI YA KUPANDA KWA VIPIMO | MBOLEA KUPANDIA NA KUKUZIA

This unusual philosopher will put an end to 10 years of separation
▶︎

This unusual philosopher will put an end to 10 years of separation

"YOU'RE A NOBODY" – DR MIRIA MATEMBE STINGS MUHOOZI KAINERUGABA OVER TORTURING UGANDAN OPPOSITION
▶︎

"YOU'RE A NOBODY" – DR MIRIA MATEMBE STINGS MUHOOZI KAINERUGABA OVER TORTURING UGANDAN OPPOSITION

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

WIMBO ULIOTIKISA KATIKA ADHIMISHO LA MISA CHUO CHA POLISI CCP - MOSHI
▶︎

WIMBO ULIOTIKISA KATIKA ADHIMISHO LA MISA CHUO CHA POLISI CCP - MOSHI

MWECAU KUHITIMISHA MHITIMU MWENYE MIAKA 75
▶︎

MWECAU KUHITIMISHA MHITIMU MWENYE MIAKA 75

#KLICL Kiwanda Bora cha Bidhaa za Ngozi, Mkurugenzi Mtendaji Eng. Masoud Omary Atoa Wito  Watanzania
▶︎

#KLICL Kiwanda Bora cha Bidhaa za Ngozi, Mkurugenzi Mtendaji Eng. Masoud Omary Atoa Wito Watanzania

KIFAHAMU CHUO KIBOSHO INSTITUTE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES NA KOZI ZAKE (KIBIHAS)
▶︎

KIFAHAMU CHUO KIBOSHO INSTITUTE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES NA KOZI ZAKE (KIBIHAS)

CUHAS ALUMNA OF THE MONTH – MAY 2026
▶︎

CUHAS ALUMNA OF THE MONTH – MAY 2026

Hii Ndiyo Weruweru Sekondari Mpya
▶︎

Hii Ndiyo Weruweru Sekondari Mpya

CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI, MAONESHO TCU
▶︎

CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI, MAONESHO TCU

OUTSIDER POLITIC #3. Constantin Toma: „Nu Grindeanu conduce PSD, ci familia Olguța - Claudiu”
▶︎

OUTSIDER POLITIC #3. Constantin Toma: „Nu Grindeanu conduce PSD, ci familia Olguța - Claudiu”

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire
▶︎

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire

WoteSawa waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wafanyakazi wa Nyumbani 2026
▶︎

WoteSawa waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wafanyakazi wa Nyumbani 2026

HOUSE GIRL ASILIPWE CHINI YA ELFU 80 KWA MWEZI
▶︎

HOUSE GIRL ASILIPWE CHINI YA ELFU 80 KWA MWEZI