KANISA KAMA DHAMIRI YA TAIFA|| SEHEMU YA KWANZA
Katika kipindi hiki, tunachunguza kwa kina mada nzito: KANISA KAMA DHAMIRI YA TAIFA. Je, dhamiri ya taifa ni nini? Na kanisa lina nafasi gani katika kuilinda, kuielekeza, na kuamsha katika nyakati za misukosuko? Leo nimekuja kugundua jambo hili: “Nguvu ya taifa haiamuliwi na sheria zake tu, bali na hali ya dhamiri yake; na hali ya dhamiri yake huamuliwa na ujasiri wa wale wanaosema ukweli.” — PastorG Tutazungumzia: Maana halisi ya dhamiri ya taifa kwa lugha rahisi Nafasi ya kanisa kama sauti ya kinabii ndani ya jamii Wajibu wa kusema ukweli bila woga Hatari ya ukimya wa kiroho katika nyakati za maumivu Jinsi dhamiri ya taifa inavyojengwa au kuharibika Kwa kutumia Neno la Mungu, tunaona kwamba dhamiri si mila wala desturi, bali ni sauti ya ndani iliyowekwa na Mungu, inayopaswa kuongozwa na ukweli. Hiki si kipindi cha kawaida, ni wito wa ndani kwa kila mtu anayesikia kwamba kuna jambo haliko sawa lakini hajajua aseme au anyamaze. Swali kuu: Je, wewe ni sehemu ya dhamiri ya taifa… au sehemu ya ukimya wake? Andiko la msingi: 📖 Warumi 2:15 📖 Mithali 31:8–9 📖 Isaya 5:20 Follow & Connect: 📌 Voice of Hope Online Fellowship 📌 Subscribe kwa mafundisho zaidi ya kina, falsafa, na theolojia ya maisha halisi Hashtags: #Kanisa #DhamiriYaTaifa #PastorG #TruthMatters #PublicTheology #VoiceOfHope #SwahiliSermon #FaithAndSociety

Broadcast June 15 • Willem Glashouwer: “We live in a time when prophecies are being fulfilled”

Santo Rosário | Sexta-feira | 04:00 | 12/06/2026 | Live Ao vivo

VOHOF|| KUTUMWA KATIKATI YA VITA

Listen what this Pastor told Ruto today in a Powerful Sermon Seventh-Day Adventist Church Kajiado

🔴# LIVE : 24.06.2026 || KUISHINDA MIPAKA YA HUZUNI NAKUPENYA KIROHO | PR. DAVID MMBAGA

EP3|| KUJITAMBUA BILA KUJILINDA NI BURE

LIVE « 5 NUITS POUR SE CONSACRER » - JOUR 1 - Stéphane Kadi, @Jeremy_Sourdril - Prières inspiré...

I Went Hell Two times And What I Saw will Shock You - Dr David Yonggi Cho

Schottland – Brasilien Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio

EP2|| JIULIZE, “MIMI NI NANI ?”

Win The Inner Battle | Joyce Meyer

Mch Moses Magembe - CHANZO CHA KUSHINDWA KUOMBA

Can You Hear the Difference Between a Cheap and Expensive Flute?

Ashura is Not Nostalgia | Khutbah by Dr. Omar Suleiman

LA PRIERE DU LIEU SECRET/EXERCICE I Pasteur Mamadou KARAMBIRI

TUZIFAHAMU NYIMBO ZETU || TMW 75 Mikononi Mwa Mitume

TUTUE MIZIGO KWA YESU

VOHOF|| DALILI MBAYA ZA SIKU HATARI KATIKA JAMII

What Happened to Pastor Pius Muiru?

