VOHOF|| DALILI MBAYA ZA SIKU HATARI KATIKA JAMII

Made with Restream. Livestream on 30+ platforms at once via https://restream.io 2 Timotheo 3:1-5 Paulo aliposema kutakuwa na "nyakati za hatari," hakumaanisha tu majanga ya asili au vita. Alizungumzia hali ya maadili, tabia na mwenendo wa watu. Leo tunaweza kuona dalili hizi katika mataifa mbalimbali duniani.