MAZITO YA SHEIKH MPYA WA DSM ADAI ATACHUKUA USHAURI KWA SHEIKH WALID ATOBOA SIRI NZITO UNDUGU !
Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Sheikh Abbas Ramadhan amesema hajapata usingizi wa kutosha tangu alipokabidhiwa jukumu la kuongoza ofisi hiyo, akieleza kuwa ukubwa wa dhamana ya kuongoza na kulea Waumini ndiyo unaompa hofu na kumfanya aendelee kumuomba Mwenyezi Mungu ampe uwezo wa kutekeleza majukumu yake. Sheikh Abbas amesema hayo leo, Julai 18, 2026 baada ya kukabidhiwa rasmi ofisi kutoka kwa aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam, Sheikh Walid Alhad Kawambwa. Amesema amepokea nafasi hiyo kwa huzuni kutokana na uzito wa jukumu la kuongoza na kulea roho za Waumini, huku akimpongeza Sheikh Walid kwa mchango wake na kueleza kuwa amekuwa kama Kaka na Mlezi wake. “Kukaimu nafasi hii ya Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam nimeipokea kwa huzuni kwa sababu tuna jukumu kubwa la kulea roho za watu na kumtumikia Allah na tangu nikaikabidhiwa nafasi hii sijalala kwa sababu ni dhamana kubwa sana,”. “Namuomba Mwenyezi Mungu aniwezeshe kutekeleza wajibu wangu na nilete mabadiliko yenye manufaa,” amesema Sheikh Abbas.

SHEIKH WALID AKABIDHI OFISI KWA SHEIKH ABBAS, BAKWATA MKOA DSM

France vs. England Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

MANENO MAZITO YA HAJI MANARA, AVUNJA UKIMYA

MMOJA LIKIMPATA JAMBO WANACHEKEA CHOONI - SHEIKH MZIWANDA

SHEIKH SHAFI AWEKA WAZI SABABU ZA SHEIKH WALID KUSIMAMISHWA/ BAKWATA HAWAJAKOSEA MSIMTETEE MSIEMJUA

MAREKANI YATEKETEZA MTAMBO wa MAJI IRAN - VIJIJI 30 VYAKOSA HUDUMA ya MAJI ya KUNYWA...

RAFIKI WA MUUAJI AFUNGUKA TUKIO ZIMA LA MAUAJI MWANANYAMALA/ALIKUWA AKITAMKA SANA NENO NITAUA

SHEIKH IZUDINI NAKUSHITAKIA SHEIKH WA MKO SISI KENYA HAKUNA SHEIKH MZIWANDA NI MSELE MWENZANGU

CHINA NAE AMEAMUA KUINGIA MZIMA MZIMA SAKATA LA MFEREJI WA HORMUZ | JESHI LA MAREKANI LAWEKA VIZUIZI
![MLANGO UBORA WA KUTAWADHA [UDHU]](https://i.ytimg.com/vi/vv7QrdEYzE0/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLAGmUMh3bEsKt2-0fcW1AwwVhDqsg)
MLANGO UBORA WA KUTAWADHA [UDHU]

51 ሚሊዮን ብሩ የት ገባ? ... ቆይታ ከባቡል ኸይር ጋር @babulkeyerngo6541 ኸሚስ ምሽት - ክፍል 276 Khemis Mishit

DOTTO MAGARI AMVUA NGUO BOSS WA KATORO/ SHIFTA NA POUL BRAND NYIEE NI VILEMA WA MAISHA/ COMEDIANI

Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad

HARUSI YA KATORO LAMATA AWASHA MOTO DIAOMOND KUMSIFIA ADAI WAMETOKA MBALI,KIJANA MWEUSI KIPAJI

SAKATA LA SHEIKH WALID NA BELLA SHEIKH AFICHUA MSIYOYAJUA, MPANGO MBAYA ULIOANDALIWA, ADAI MAZITO

ZUMARIDI AMTAMBULISHA MUMEWE HADHARANI NA WATOTO WA MAAJABU

SHEIKH IZUDDIN ALUI AISHAURI BAKWATA USHAURI MZITO | AIBUKA NA SAKATA LA SHEIKH WALIDI,AMENENA HAYA

Dangote's Biggest Industrial Bet Just Entered East Africa—And It Changes Everything

Miisaanka lagu garto Ninka Ragga ah || Sh Mustafe Xaaji

