TPDC yawahakikishia wateja uingizwaji gesi asilia katika mfumo wa umeme wa gridi ya taifa
Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC) limewahakikishia watumiaji wa gesi asilia inayotumika kuzalisha umeme unaoingizwa kwenye gridi ya taifa ambao ni asilimia 60 ya umeme unaozalishwa na shirika la Tanesco. TPDC imesema uzalishaji wa gesi hiyo ni wa uhakika na utasaidia taifa kuondokana na mgao wa umeme huku wataalamu wakifanikiwa kufanya ugunduzi wa visima vipya sanjari na usalama wa nishati hiyo. #AzamTVUpdates #AzamNews #TPDC #NishatiYaGesi #GesiAsilia

▶︎
Dakika 45 na DKJames Mataragio, Mkurugenzi TPDC.

▶︎
Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.

▶︎
UMEME WA GRIDI YA TAIFA WAFIKA KIGOMA ''TUTAOKOA BILIONI 22 KWA MWAKA ASANTE RAIS SAMIA''

▶︎
TPDC: HAKUNA KISIMA CHA GESI KILICHOKAUKA

▶︎
FAHAMU KUHUSU TPDC: WANAVYOFANYA UGUNDUZI GESI ASILIA, TAFITI ZA MAFUTA..

▶︎
Nëse dikush na bën padrejtësi, çfarë duhet të bëjmë? - Dr. Shefqet Krasniqi

▶︎
LIVE: RAIS MAGUFULI ANAWAAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI WAPYA IKULU CHAMWINO, DODOMA - 09/12/2020

▶︎
Chanzo cha gesi kujaa tumboni na namna ya kuitoa "Tunameza gesi".

▶︎
🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

▶︎
MORNING TRUMPET: Sababu za TPDC kujiendesha kwa hasara

▶︎
TPDC YAANZA UTAFITI MAFUTA na GESI ASILI AWAMU ya 2 ZIWA EYASI - SIMIYU - MWANZA na SINGIDA...

▶︎
BITEKO AZITAKA TPDC NA ARA PETROLEUM KUTOA KIPAUMBELE KWA WAZAWA KATIKA AJIRA

▶︎
WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

▶︎
TPDC MBIONI KUANZA USINDIKAJI NA USAMBAZAJI WA GESI ASILIA NCHINI.

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
TPDC KUSAMBAZA GESI MAJUMBANI

▶︎
Miradi ya TPDC na fursa za ajira Lindi

▶︎
UBUNIFU: Tazama kijana aliyebuni njia ya kunawa mikono kwa kupiga simu

▶︎
TPDC waidai Tanesco zaidi ya bilioni 500, waomba serikali iwasaidie

▶︎
