TPDC: HAKUNA KISIMA CHA GESI KILICHOKAUKA

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tazania (TPDC), limesema upatikanaji wa gesi asilia unazidi kuimarika ambapo gesi inayozalishwa kwa siku katika kitalu namba Moja cha Mnazi bay, kilichopo Msimbati Mkoani Mtwara, ni futi za ujazo Milioni 120, kutoka kwenye visima vyote Vitano. Akizungumza leo Septemba 28, 2023 baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa miundombinu ya kuzalisha gesi hiyo iliyopo Mnazi Bay, Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Mussa Mohamed Makame, amesema visima vyote vinazalisha gesi na hakuna kisima kilichokauka. Aidha, ameaema mchango wa gesi asilia kwenye uzalishaji wa umeme nchini katika gridi ya Taifa ni zidi ya asilimia 70. Muandaaji: JUMA MOHAMED #KhomeinTvUpdates PIA USIACHE KU SUBSCRIBE CHANEL YETU Khomein TV YOUTUBE UWE WA KWANZA KUFIKIWA NA HABARI ZETU Follow Insta @khomeintv_ Tufollow pia kwenye X (Twitter), TikTok @khomeintv na Facebook Khomein Tv

TPDC yawahakikishia wateja uingizwaji gesi asilia katika mfumo wa umeme wa gridi ya taifa
▶︎

TPDC yawahakikishia wateja uingizwaji gesi asilia katika mfumo wa umeme wa gridi ya taifa

FAHAMU KUHUSU TPDC: WANAVYOFANYA UGUNDUZI GESI ASILIA, TAFITI ZA MAFUTA..
▶︎

FAHAMU KUHUSU TPDC: WANAVYOFANYA UGUNDUZI GESI ASILIA, TAFITI ZA MAFUTA..

Dakika 45 na DKJames Mataragio, Mkurugenzi TPDC.
▶︎

Dakika 45 na DKJames Mataragio, Mkurugenzi TPDC.

TPDC YAANZA UTAFITI MAFUTA na GESI ASILI AWAMU ya 2 ZIWA EYASI - SIMIYU - MWANZA na SINGIDA...
▶︎

TPDC YAANZA UTAFITI MAFUTA na GESI ASILI AWAMU ya 2 ZIWA EYASI - SIMIYU - MWANZA na SINGIDA...

MORNING TRUMPET: Sababu za TPDC kujiendesha kwa hasara
▶︎

MORNING TRUMPET: Sababu za TPDC kujiendesha kwa hasara

TPDC KUCHUNGUZA KISIMA KINACHOWAKA MOTO MTWARA
▶︎

TPDC KUCHUNGUZA KISIMA KINACHOWAKA MOTO MTWARA

VIJANA WAPEWE NAFASI ZAIDI KOZI ZA UANAGENZI- MBUNGE MAPALILO
▶︎

VIJANA WAPEWE NAFASI ZAIDI KOZI ZA UANAGENZI- MBUNGE MAPALILO

TPDC KUTOA AJIRA KWA WANANCHI WA VIJIJI 38 MTWARA NA LINDI KUPITIA MRADI WA GESI NA MAFUTA.
▶︎

TPDC KUTOA AJIRA KWA WANANCHI WA VIJIJI 38 MTWARA NA LINDI KUPITIA MRADI WA GESI NA MAFUTA.

KAULI YA BOSI WA TPDC BAADA YA KUTUMBULIWA USIKU NAKURUDISHWA ASUBUHI
▶︎

KAULI YA BOSI WA TPDC BAADA YA KUTUMBULIWA USIKU NAKURUDISHWA ASUBUHI

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone
▶︎

Princess Of Boogie Woogie Delights Everyone

Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.
▶︎

Tanzania kuanza kuchimba Mafuta na Gesi Asilia mwaka 2026 kupitia mradi wake wa Eyasi Wembere.

TPDC Yasema Inawezo Wa Kukusanya Tawimu Za Kitaalamu
▶︎

TPDC Yasema Inawezo Wa Kukusanya Tawimu Za Kitaalamu

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT
▶︎

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI
▶︎

OFISI ZA WIZARA YA NISHATI MTUMBA- KITOVU CHA UTOAJI WA HUDUMA BORA SEKTA YA NISHATI

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU
▶︎

WAZIRI ULEGA AAGIZA TANROADS KUWEKA TAA ZA KISASA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA HADI CHAMWINO IKULU

MADEREVA KIWANDA CHA MO WAGOMA KISA MSHAHARA
▶︎

MADEREVA KIWANDA CHA MO WAGOMA KISA MSHAHARA

DARAJA LA UTALII LINALOJENGWA BAHARINI TANGA
▶︎

DARAJA LA UTALII LINALOJENGWA BAHARINI TANGA

MADEREVA KAWE WALIA NA UKOSEFU WA STENDI
▶︎

MADEREVA KAWE WALIA NA UKOSEFU WA STENDI

VIFAA VYA KUDHIBITI MOTO VYAZINDULIA SEKONDARI YA KANGA SONGWE
▶︎

VIFAA VYA KUDHIBITI MOTO VYAZINDULIA SEKONDARI YA KANGA SONGWE

Africa's Biggest Refinery Just Got Bigger 🚀| Dangote Refinery 700,000 Barrels Per Day!
▶︎

Africa's Biggest Refinery Just Got Bigger 🚀| Dangote Refinery 700,000 Barrels Per Day!