BIBI wa MIAKA 70 ALIYEKAMATWA na DAWA za KULEVYA HEROINE AFUNGUKA UKWELI WOTE - "HAWAKUZIKUTA NDANI"

BIBI wa MIAKA 70 ALIYEKAMATWA na DAWA za KULEVYA HEROINE AFUNGUKA UKWELI WOTE - "HAWAKUZIKUTA NDANI"... Baada ya jeshi la polisi mkoa wa Manyara kutoa taarifa kwa Waandishi wa habari juu ya kumshikilia bibi kikogwe mwenye miaka 70 kwa tuhuma za kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin, katika mtaa wa Maisaka (B) mjini Babati mkoa wa Manyara, leo Bibi huyo amefunguka juu ya mkasa huo ambapo ametusimulia kwakina namna alivyokamatwa na askari mpaka alipofikishwa kituo cha polisi Babati. Aidha mpaka sasa kikogwe mwenye miaka 70 yupo nje kwa dhamana kutokana na changamoto za kiafya huku akitakiwa kuripoti tena siku ya Alhamisi katika kituo cha polisi Babati mkoani Manyara. Akizungumza Kikogwe huyo amesema siku ya tukio hilo la kukamatwa kwake alikutwa nyumbani kwake akiwa amelala ndani kutokana nakuwa alikuwa mgonjwa ndipo alipoitwa na askari nakuelezwa kuhusu dawa za kulevya kukutwa katika eneo la nyumba yake. Hata hivyo kikongwe huyo ametueleza kuwa siku ya tukio hilo, hakukuwa na jirani wala kiongozi wa mtaa wakati wa zoezi la kukaguliwa nyumba yake ndipo alipo kamatwa na kufikishwa katika kituo cha polisi Babati. Aidha global tv Online imezungumza na Mwenyekiti wa mtaa wa Maisaka (B) halmashauri ya mji wa Babati Bw Issa Mnyaruge ambapo amesema siku hiyo hakuwepo alikuwa safarini ndipo alipopigiwa simu na kuelezwa juu ya tukio hilo. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES   ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

ASKALI POLICE ALIYE WASAIDIA MAJAMBAZI KUFANYA UHALIFU, ASIMULIA TUKIO ZIMA HADI KUFUKUZWA KAZI
▶︎

ASKALI POLICE ALIYE WASAIDIA MAJAMBAZI KUFANYA UHALIFU, ASIMULIA TUKIO ZIMA HADI KUFUKUZWA KAZI

VILIO VYATAWALA  MWILI wa MREMBO wa KITANZANIA ALIYEFARIKI INDIA UKIWASILI TANZANIA KWA MAZIKO
▶︎

VILIO VYATAWALA MWILI wa MREMBO wa KITANZANIA ALIYEFARIKI INDIA UKIWASILI TANZANIA KWA MAZIKO

#BREAKING! MTANDAO wa Kusambaza Madawa ya Kulevya WANASWA
▶︎

#BREAKING! MTANDAO wa Kusambaza Madawa ya Kulevya WANASWA

MTANZANIA ALIYEFUNGWA SOUTH AFRICA "MWANAMKE ALIPIGIA KELELE TUNAPOISHI"
▶︎

MTANZANIA ALIYEFUNGWA SOUTH AFRICA "MWANAMKE ALIPIGIA KELELE TUNAPOISHI"

Wakamatwa na Kilo 200 za Dawa za Kulevya Mbezi | Mzigo umefichwa kwenye Tank la maji Machafu.
▶︎

Wakamatwa na Kilo 200 za Dawa za Kulevya Mbezi | Mzigo umefichwa kwenye Tank la maji Machafu.

Rais Magufuli tena kuhusu sakata la dawa za kulevya, agizo jipya kuhusu Watanzania waliofungwa nje
▶︎

Rais Magufuli tena kuhusu sakata la dawa za kulevya, agizo jipya kuhusu Watanzania waliofungwa nje

HUSSNA REVEALS THE HARDSHIPS SHE ENCOUNTERED WHEN SHE LIVED IN OMAN FOR 2 YEARS - ARRIVED WITH 6 ...
▶︎

HUSSNA REVEALS THE HARDSHIPS SHE ENCOUNTERED WHEN SHE LIVED IN OMAN FOR 2 YEARS - ARRIVED WITH 6 ...

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WATUMISHI 3 NA MMILIKI WA ZAHANATI YA HOSSIANA KWA KULAZA WAGONJWA
▶︎

RC TABORA AAGIZA KUKAMATWA KWA WATUMISHI 3 NA MMILIKI WA ZAHANATI YA HOSSIANA KWA KULAZA WAGONJWA

Jaramandia la uhalifu :  Masaibu ya Afisa Daniel Seronei aliyestaafu na Mohammed Ali
▶︎

Jaramandia la uhalifu : Masaibu ya Afisa Daniel Seronei aliyestaafu na Mohammed Ali

HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA
▶︎

HADUBINI: VUTA NI KUVUTE ZA KUMPATA MGOMBEA CCM 1995. SIKILIZA MANENO YA KIKWETE BAADA YA KUSHINDWA

POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
▶︎

POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM

🔴#BREAKING: MAPAPA wa DAWA za KULEVYA WAKAMATWA KIGAMBONI -WANATAFUTWA DUNIANI KOTE - "KILO 3,182"..
▶︎

🔴#BREAKING: MAPAPA wa DAWA za KULEVYA WAKAMATWA KIGAMBONI -WANATAFUTWA DUNIANI KOTE - "KILO 3,182"..

Inside the Island Where the Dead Return to Dance | Madagascar 🇲🇬
▶︎

Inside the Island Where the Dead Return to Dance | Madagascar 🇲🇬

"JAMBAZI ALIYEUAWA DSM, ALIFYATUA RISASI JUU KUTISHIA POLISI, WAKAMPIGA" - KAMANDA KINGAI
▶︎

"JAMBAZI ALIYEUAWA DSM, ALIFYATUA RISASI JUU KUTISHIA POLISI, WAKAMPIGA" - KAMANDA KINGAI

SAKATA la MAANDAMANO SABASABA - WANANCHI WAKASIRIKA VIBAYA - WAKATAA VURUGU - WAAPA KULINDA AMANI...
▶︎

SAKATA la MAANDAMANO SABASABA - WANANCHI WAKASIRIKA VIBAYA - WAKATAA VURUGU - WAAPA KULINDA AMANI...

HIDDEN DRUGS IN RICE, DSM POLICE ARRESTS HIM "THEY HAVE EXPLAINED WHERE THEY CAME FROM"
▶︎

HIDDEN DRUGS IN RICE, DSM POLICE ARRESTS HIM "THEY HAVE EXPLAINED WHERE THEY CAME FROM"

KILIMO AJIRA YANGU, UFUGAJI WA SAMAKI MKURANGA SEHEMU YA PILI 24.02.2018
▶︎

KILIMO AJIRA YANGU, UFUGAJI WA SAMAKI MKURANGA SEHEMU YA PILI 24.02.2018

Mzee Ally Bakari afichua wauzaji wa madawa ya kulevya Tanzania na jinsi yanavyosamazwa
▶︎

Mzee Ally Bakari afichua wauzaji wa madawa ya kulevya Tanzania na jinsi yanavyosamazwa

SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA: WATU 12 WABURUTWA MAHAKAMANI, "WAMESAFIRISHA KILO MIA SABA"
▶︎

SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA: WATU 12 WABURUTWA MAHAKAMANI, "WAMESAFIRISHA KILO MIA SABA"

🔴#Live: MADUDU ya RIPOTI ya CAG na TAKUKURU -ATCL -TRC ZATAJWA -BUNGE KUSHUGHULIKIA? | FRONT PAGE
▶︎

🔴#Live: MADUDU ya RIPOTI ya CAG na TAKUKURU -ATCL -TRC ZATAJWA -BUNGE KUSHUGHULIKIA? | FRONT PAGE