WAKAAZI WA KINUNI WAPAZA SAUTI KUHUSU VITENDO VYA KIHALIFU
Tatizo la usalama limeendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazowakabili wananchi wa baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, hali inayotajwa kuathiri amani na utulivu wa jamii. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, Ali Abdalla Said (Natepe), wakati wa ziara maalumu ya kusikiliza kero za wananchi, wakazi wa Shehia ya Kinuni wameiomba Serikali kuongeza juhudi za kukabiliana na vitendo vya uhalifu vinavyoendelea kujitokeza katika eneo lao. Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Operesheni Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, SP. Salum Amir Ngayana, amewahimiza wananchi kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kutoa taarifa na ushahidi pale unapohitajika, ili kuwasaidia wahalifu kufikishwa mahakamani na sheria kuchukua mkondo wake. Naye Mkuu wa Wilaya ya Magharibi "B" Unguja, Ali Abdalla Said (Natepe), amesema Serikali itaendelea kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi kwa kushirikiana na viongozi wa shehia na vyombo vya ulinzi na usalama, kwa lengo la kuimarisha usalama, kulinda amani na kuchochea maendeleo ya jamii. Ziara hiyo imewashirikisha wananchi kutoka Shehia za Mnarani, Pangawe, Mambosasa, Kinuni na Muembe Majogo. #Zanzibar #MagharibiB #Kinuni #Usalama #Uhalifu #Amani #Polisi #AsamOnlineTV #TrendingNow

DC NATEPE AKUTANA NA MAZITO KWARARA, MAJI, AFYA, ULINZI SHIRIKISHI, BARABARA

WANANCHI KIHINANI NA CHUINI WATEMA CHECHE KATIKA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA

ZFDA YATEKETEZA TANI 82 ZA BIDHAA ZISIZOFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU

WANANCHI MAGHARIBI "A" WANUFAIKA NA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA

VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA HAVIKO HURU|| WAZIRI HAKUTAKIWA KUINGILIA|| SAKATA LA KATAMBI SURA MPYA

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

BREAKING: Celebrations in Nairobi After Sifuna Takes Over ODM | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

MAFUNZO YA WALINZI SHIRIKISHI YALENGA KUDHIBITI UHALIFU WILAYA YA MJINI

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 28, 2026 -TANESCO WAELEZA SABABU ZA GRIDI YA UMEME KUKATIKA

WANANCHI PWANI MCHANGANI WAKABIDHIWA HATI ZA ARDHI KATIKA WIKI YA ARDHI

DC MJINI AKAGUA MIRADI YA BIG-Z INAYOFADHILIWA NA BENKI YA DUNIA

ACT WAZALENDO YAHOJI UTARATIBU WA UTOAJI WA ZAN ID

WANANCHI KWARARA WALALAMIKIA ONGEZEKO LA UVUTAJI BANGI

Ethiopia is About to Explode.

MURKOMEN USIJARIBU KUTISHIA GACHAGUA! JUU NI RUTO AMEKUTUMA UMSHIKE" KALONZO WARNS MURKOMEN!

MATUKIO 128 YA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA YARIPOTIWA ZANZIBAR MWEZI MEI 2026

ODM breathes fire!! Hon. Wanjala breaks silence-Lazima tuchunge chama chetu cha ODM,hakuna kuogopa

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA

