WANANCHI KWARARA WALALAMIKIA ONGEZEKO LA UVUTAJI BANGI

Wananchi wa Kwarara wameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi kukabiliana na tatizo la uvutaji wa bangi ambalo wamedai limekuwa likihatarisha usalama na kuwakosesha amani wakazi wa eneo hilo. Wakitoa malalamiko yao mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, Ndg. Ali Abdallah Said (Natepe), wakati wa ziara maalumu ya kusikiliza changamoto za wananchi iliyofanyika Kwarara Madina, Mkoa wa Mjini Magharibi, wananchi hao wamesema matumizi ya bangi yamechangia kuongezeka kwa vitendo vya utovu wa nidhamu na kuhatarisha usalama wa jamii. Aidha, wameiomba Serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuongeza juhudi za kudhibiti matumizi na usambazaji wa dawa hizo za kulevya ili kurejesha utulivu na kuimarisha usalama wa wananchi. Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B”, Ndg. Ali Abdallah Said (Natepe), ameahidi kuyafanyia kazi malalamiko hayo kwa kushirikiana na mamlaka husika ili kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa kwa maslahi ya wananchi na maendeleo ya jamii. #Zanzibar #Kwarara #Usalama #DawaZaKulevya #Jamii #Tanzania #CommunitySafety #ForYou #FYP #TikTokTanzania #InstaNews #TrendingNow

MVUVI APOTEA BAHARINI KIZINGO, FAMILIA YAOMBA MSAADA WA UTAFUTAJI
▶︎

MVUVI APOTEA BAHARINI KIZINGO, FAMILIA YAOMBA MSAADA WA UTAFUTAJI

WAZIRI KATAMBI AMRARUA TENA HECHE BUNGENI | HAWA WACHOCHEZI WA MAANDAMANO | IGP APEWA ODA NZITO
▶︎

WAZIRI KATAMBI AMRARUA TENA HECHE BUNGENI | HAWA WACHOCHEZI WA MAANDAMANO | IGP APEWA ODA NZITO

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna
▶︎

Inside Israel’s torture prison camps | One on one with Khaled Mahajna

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE
▶︎

AHUKUMIWA MIAKA 20 - ALIYE MCHARANGA VISU MKE MWENZIE

DKT. KHALID: ONGEZEKO LA WATU LAZIMA LIENDANE NA MIPANGO BORA YA MATUMIZI YA ARDHI
▶︎

DKT. KHALID: ONGEZEKO LA WATU LAZIMA LIENDANE NA MIPANGO BORA YA MATUMIZI YA ARDHI

KIJANA AANGUKA JUU YA MNAZI AUGUZA MAUMIVU KWA ZAIDI YA MIAKA 8
▶︎

KIJANA AANGUKA JUU YA MNAZI AUGUZA MAUMIVU KWA ZAIDI YA MIAKA 8

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN
▶︎

EPIC GAME 😱 RONALDO & PORTUGAL DESTROY DENMARK IN HUGE WIN

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.
▶︎

Zanzibar Ports Corporation (ZPC) hosts a delegation from the Singapore Business Federation.

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story
▶︎

"DON'T THREATEN ME": HECHE RESPONDS TO MINISTER KATAMBI IN MPANDA, Reveals the Whole Story

WIKI YA ARDHI YAADHIMISHWA KWA UPANDAJI MITI NA USAFI WA MAZINGIRA MWERA PONGWE
▶︎

WIKI YA ARDHI YAADHIMISHWA KWA UPANDAJI MITI NA USAFI WA MAZINGIRA MWERA PONGWE

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO
▶︎

DHAMIRA YA DK.MWINYI KUIFUNGUA PEMBA KIUCHUMI INAONEKANA KIVITENDO

Kisumu SGR Station Construction Update 🚧🏗️ | Kisumu City's Future Transformation 🇰🇪
▶︎

Kisumu SGR Station Construction Update 🚧🏗️ | Kisumu City's Future Transformation 🇰🇪

MAFUNZO YA WALINZI SHIRIKISHI YALENGA KUDHIBITI UHALIFU WILAYA YA MJINI
▶︎

MAFUNZO YA WALINZI SHIRIKISHI YALENGA KUDHIBITI UHALIFU WILAYA YA MJINI

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera
▶︎

Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

HISTORIA YA KUTISHA, ASILI YA MTOPEPO, MASHETANI, UCHAFU
▶︎

HISTORIA YA KUTISHA, ASILI YA MTOPEPO, MASHETANI, UCHAFU

ACT WAZALENDO YAHOJI UTARATIBU WA UTOAJI WA ZAN ID
▶︎

ACT WAZALENDO YAHOJI UTARATIBU WA UTOAJI WA ZAN ID

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Démission, Revirement de Diomaye...: Grosses Révélations de Cheikh Thioro Mbacké
▶︎

Démission, Revirement de Diomaye...: Grosses Révélations de Cheikh Thioro Mbacké

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.
▶︎

Mkurugenzi Mkuu wa ZARTSA awaondosha wafanyabiashara waliopo pembezoni mwa barabara.