SADAKA YANGU - FR AMEDEUS KAUKI - NYIMBO ZA SADAKA | TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS)

Sadaka Yangu: Sadaka yangu, kwako ee Mungu Ni moyo mnyofu na uliopondeka Tazama wapendezwa na kweli ya moyo nawe wanijulisha hekima kwa siri, nioshe kabisa na uovu wangu na kinywa changu kitanena sifa zako 1. maana wewe bwana hupendezwi na dhabihu za kuteketezwa ama sivyo mimi ningali kutolea 2.wapendezwa na dhabihu za haki, kutoka kwa moyo mnyoofu zitolewazo juu ya madhabahu yako 3. ee mungu mungu wa wokovu wangu unipe moyo radhi wa utii usiniondolee roho wako Mtakatifu