MATHAYO 12: DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU HAISAMEHEWI
#Mathayo#Yesu#Dhambi#RohoMtakatifu Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwa kumkufuru Roho hawatasamehewa. Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao. Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hutambulikana. Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya. Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa. Hapo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako. Akajibu, akawaambia, Kizazi kibaya na cha zinaa chatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya nabii Yona.

MATHAYO 14:YOHANA AKATWA KICHWA NA MFALME HERODE

SAUTI YA ROHO MTAKATIFU NDANI YAKO

MATHAYO 10: MSIDHANI NIMELETA AMANI DUNIANI/ACHAGUA WANAFUNZI

MAGONJWA YA NGUVU ZA KICHAWI, NGUVU ZA GIZA ZINAZOJIFICHA KWENYE MAGONJWA.

ZIJUE KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KWA ULIMWENGU: Credit to "WINGU LA MASHAHIDI"

1 HOUR DEEP SWAHILI WORSHIP MIX | Uongezeke Yesu, Umenipendelea, Ombi Langu, Ni Tabibu, Raha Yangu.

SEHEMU 3 : MADHARA YA UZINZI NA UASHERATI KWENYE MAISHA YA MTU

Mbarikiwa mpenzi/kudet kabla ya ndoa. Umalaya sio kumpenda Mungu. Mbona dhambi mnaita utakatifu?

KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU NI NINI? | Apostle Dr. Frank Warren | ECG TJNC ARUSHA

JESUS Asked Me to Keep the Sabbath Holy. I Obeyed & Something Unexpected Happened | Julius Malema

NJIA KUU TATU ZA KUMSIKIA ROHO MTAKATIFU

UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU SEH 1

USINIPITE BWANA - DEEP RELAX SWAHILI WORSHIP SONGS

#LIVE: KEMEA ROHO YA HOFU NYUMA YA MAGONJWA // 04

Jurgen Tholel over bekering, refo's, Rotterdam, HHK-dominees en zijn kapster | Getuigend Gesprek #11

How Did DANIEL See the Strait of HORMUZ 2,500 Years Ago?

Je, Mungu Anasamehe Dhambi Zote? Kumkufuru Roho Mtakatifu | Mafundisho ya Bishop Dr. Fredrick Simon

DEEPEST SWAHILI WORSHIP & PRAYER SONGS | Uongezeke Yesu • Asante Kwa Neema • Shukrani Isiyoisha

ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO

