ZIJUE KAZI ZA ROHO MTAKATIFU KWA ULIMWENGU: Credit to "WINGU LA MASHAHIDI"

ZABURI 119:105 [105]Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu. ZABURI 119:130 [130]Kufafanusha maneno yako kwatia nuru, Na kumfahamisha mjinga. YOHANA 15:3 [3]Ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya lile neno nililowaambia. Now ye are clean through the word which I have spoken unto you.