Biteko Atua Iringa kwa Ndege Kushiriki Ibada ya Kumsimika Askofu Jimbo Katoliki Iringa
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amewasili mkoani Iringa na kupokelewa na Viongozi Mbalimbali wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, katika Uwanja wa Ndege (Iringa Airport). Dkt. Biteko amewasili Mkoani Iringa April 26, 2025 ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Ibada na Sherehe za kuwekwa wakfu Askofu Mteule Romanus Elamu Mihali kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Kitume la Iringa. Ibada na Sherehe za kuwekwa Wakfu Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa itafanyika Jumapili ya April 27, 2025 Kanisa Katoliki Jimbo la Iringa. Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku. Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani. Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments. #FocusDigitoTV .................. Tufuatilie Zaidi kupitia: INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest. Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing We Love You | Tunakupenda Regards Team FocusDigitoTV

🔴LIVE: ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA KUWEKWA WAKFU NA KUSIMIKWA ASKOFU WA JIMBO KATOLIKI LA IRINGA

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

#LIVE: Misa Takatifu ya Uaskofusho wa Askofu Mteule Romanus Mihali | Jimbo Katoliki Iringa.

''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

Air Tanzania Cockpit Boeing 767-300 Freighter to Kinshasa

"KAMATA SUKUMA NDANI" MWANRI AMWAMBIA RC MAKONDA MBELE YA GAMBO ARUSHA,AMSHIKA MKONO MKUU WA MKOA...

DEREVA WA HECHE AKUTWA AMEFARIKI KIGOMA-CHADEMA

BREAKING!! A WOMAN WHO ACCUSED OF TRACKING PRES RUTO'S FLIGHT ON X HAS BEEN TAKEN TO COURT!!

Waziri Mkuu Majaliwa Atua kwa Ndege Iringa Kushiriki Mbio za Great Ruaha Marathon 2025

Maelfu waondoka Afrika Kusini, maandamano dhidi ya wahamiaji yakiendelea. Katika Dira ya Dunia TV.

MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...

Uko Nyenicubahiro Evariste Ndayishimiye yakiriwe kumusi wo Kwikukira

DC Kheri James Akifunga Mafunzo ya Askari Jeshi la Akiba Iringa Mjini

RC SENDIGA AKASIRIKA, SIKIA ALIVYOMKARIPIA MENEJA TARURA IRINGA

MSAFARA WA MKUU WA MKOA IRINGA WASIMAMISHWA NJIANI NA MABANGO

IBITANGAZA ABAPARA Bakoze Kuri STADE INTWARI🇧🇮Gen.BARATUZA Ahaye GASOPO UMWANSI/Yerekany IGISIRIKARE

BABA LEVO AKOSHWA NA KINGEREZA CHA BINTI WA IRINGA/AHAIDI KUPIGA ONE YA 3 MBELE YA WAANDISHI

MHE. RAIS SAMIA AKIWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA UPANUZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA IRINGA NA KUSALI…

Rasmi Dk Slaa Arejea CHADEMA | Mchungaji Msigwa Naye Yupo Njiani? Itafahamika Machi 29, Iringa

