DEREVA WA HECHE AKUTWA AMEFARIKI KIGOMA-CHADEMA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia ukurasa wao rasmi wa mtandao wa Instagram, kimeeleza kuhusu tukio la kifo cha dereva wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche, Suez Dan. Kupitai ukurasa huo, Chadema wameandika: “Suez Dan Dereva ambaye ni dereva wa Makamu wa Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amekutwa akiwa amefariki asubuhi ya leo Julai 01, 2026 chumbani kwenye nyumba ya wageni aliyofikia, mjini Kigoma. “Mwili huo umechukuliwa na Polisi kuupelekwa hospitali ya mkoa wa Kigoma kwa ajili ya taratibu nyingine za uchunguzi.”

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

▶︎
England vs. DR Congo Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

▶︎
WAKUU WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA WAONYWA NA JAJI MKUU KUINGILIA MAAMUZI YA MAHAKAMA

▶︎
Utekaji wazua taharuki: Polisi wakana kuhusika, serikali yabaki kimya

▶︎
PACOME ALIVYOFANYIWA DUA HOSPITALIN BAADA YA KUFANYIWA OPERATION

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 1, 2026 - MMOJA AFARIKI BAADA YA MLIPUKO WA BARUTI MWANZA

▶︎
#BREAKING: POLISI WAFICHUA WALICHOKIKUTA CHUMBANI GESTI ALIMOFIA DEREVA wa HECHE UCHUNGUZI WAENDELEA

▶︎
WAKILI MADELEKA AMCHARUKIA KATAMBI | HANA MADARAKA YA KUMUAMLISHA IGP POLISI |ASEME KAAMBIWA NA NANI

▶︎
AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

▶︎
Maelfu waondoka Afrika Kusini, maandamano dhidi ya wahamiaji yakiendelea. Katika Dira ya Dunia TV.

▶︎
HOJA NZITO ZAIBUKA MKUTANO WA WAZIRI MKUU TARIME '' OLE ATAKAYE THUBUTU"

▶︎
WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA

▶︎
What Question Can't You Ask The President?

▶︎
WALIKUWA WANAZANI KWAMBA WATU HAWATAJUWA WANACHOFANYA SAMIA YUPO KWENYE AIBU

▶︎
ZUIO LA MIKUTANO YA SIASA, RAIS WA TLS AFAFANUA KISHERIA, KATAMBI HANA MAMLAKA YA KUMUAGIZA IGP

▶︎
England – DR Kongo Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
SAKATA la MAANDAMANO SABASABA - WANANCHI WAKASIRIKA VIBAYA - WAKATAA VURUGU - WAAPA KULINDA AMANI...

▶︎
MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU

▶︎
Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

▶︎
