DEREVA WA HECHE AKUTWA AMEFARIKI KIGOMA-CHADEMA

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia ukurasa wao rasmi wa mtandao wa Instagram, kimeeleza kuhusu tukio la kifo cha dereva wa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche, Suez Dan. Kupitai ukurasa huo, Chadema wameandika: “Suez Dan Dereva ambaye ni dereva wa Makamu wa Mwenyekiti Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John Heche amekutwa akiwa amefariki asubuhi ya leo Julai 01, 2026 chumbani kwenye nyumba ya wageni aliyofikia, mjini Kigoma. “Mwili huo umechukuliwa na Polisi kuupelekwa hospitali ya mkoa wa Kigoma kwa ajili ya taratibu nyingine za uchunguzi.”

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST
▶︎

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

England vs. DR Congo Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau
▶︎

England vs. DR Congo Highlights FIFA World Cup 2026 | Sportschau

WAKUU WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA WAONYWA NA JAJI MKUU  KUINGILIA MAAMUZI YA MAHAKAMA
▶︎

WAKUU WA MIKOA NA WAKUU WA WILAYA WAONYWA NA JAJI MKUU KUINGILIA MAAMUZI YA MAHAKAMA

Utekaji wazua taharuki: Polisi wakana kuhusika, serikali yabaki kimya
▶︎

Utekaji wazua taharuki: Polisi wakana kuhusika, serikali yabaki kimya

PACOME ALIVYOFANYIWA DUA HOSPITALIN BAADA YA KUFANYIWA OPERATION
▶︎

PACOME ALIVYOFANYIWA DUA HOSPITALIN BAADA YA KUFANYIWA OPERATION

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI  JULAI 1, 2026 - MMOJA AFARIKI BAADA YA MLIPUKO WA BARUTI MWANZA
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JULAI 1, 2026 - MMOJA AFARIKI BAADA YA MLIPUKO WA BARUTI MWANZA

#BREAKING: POLISI WAFICHUA WALICHOKIKUTA CHUMBANI GESTI ALIMOFIA DEREVA wa HECHE UCHUNGUZI WAENDELEA
▶︎

#BREAKING: POLISI WAFICHUA WALICHOKIKUTA CHUMBANI GESTI ALIMOFIA DEREVA wa HECHE UCHUNGUZI WAENDELEA

WAKILI MADELEKA AMCHARUKIA KATAMBI | HANA MADARAKA YA KUMUAMLISHA IGP POLISI |ASEME KAAMBIWA NA NANI
▶︎

WAKILI MADELEKA AMCHARUKIA KATAMBI | HANA MADARAKA YA KUMUAMLISHA IGP POLISI |ASEME KAAMBIWA NA NANI

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA
▶︎

AGIZO LA WAZIRI KWA WATU WASIOKUWA NA NIDA KUTOPOKELEWA NYUMBA ZA WAGENI, RAIS WA TLS AFAFANUA

Maelfu waondoka Afrika Kusini, maandamano dhidi ya wahamiaji yakiendelea. Katika Dira ya Dunia TV.
▶︎

Maelfu waondoka Afrika Kusini, maandamano dhidi ya wahamiaji yakiendelea. Katika Dira ya Dunia TV.

HOJA NZITO ZAIBUKA MKUTANO WA WAZIRI MKUU TARIME '' OLE ATAKAYE THUBUTU"
▶︎

HOJA NZITO ZAIBUKA MKUTANO WA WAZIRI MKUU TARIME '' OLE ATAKAYE THUBUTU"

WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA
▶︎

WAMEHAMA CHADEMA, WAMEFIKA CHAUMMA WAMEANZA KUVURUGANA | KIGAILA AFICHUA KUTOKUWA NAE TENA

What Question Can't You Ask The President?
▶︎

What Question Can't You Ask The President?

WALIKUWA WANAZANI KWAMBA WATU HAWATAJUWA WANACHOFANYA SAMIA YUPO KWENYE AIBU
▶︎

WALIKUWA WANAZANI KWAMBA WATU HAWATAJUWA WANACHOFANYA SAMIA YUPO KWENYE AIBU

ZUIO LA MIKUTANO YA SIASA, RAIS WA TLS AFAFANUA KISHERIA, KATAMBI HANA MAMLAKA YA KUMUAGIZA IGP
▶︎

ZUIO LA MIKUTANO YA SIASA, RAIS WA TLS AFAFANUA KISHERIA, KATAMBI HANA MAMLAKA YA KUMUAGIZA IGP

England – DR Kongo Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

England – DR Kongo Highlights | Sechzehntelfinale, FIFA WM 2026 | sportstudio

SAKATA la MAANDAMANO SABASABA - WANANCHI WAKASIRIKA VIBAYA - WAKATAA VURUGU - WAAPA KULINDA AMANI...
▶︎

SAKATA la MAANDAMANO SABASABA - WANANCHI WAKASIRIKA VIBAYA - WAKATAA VURUGU - WAAPA KULINDA AMANI...

MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU
▶︎

MAPYA YAUBUKA KIFO CHA MSAIDIZI WA HECHE,POLISI WATOA TAMKO HILI MUDA HUU

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?
▶︎

Minembwe yabananiye|| Ndayishimiye na Tshisekedi barapfunda he umutwe?

UCHUMI WETU UNAKUA KWA KASI,  TUNAWEZA KUJITEGEMEA KWA MAPATO YETU YA NDANI
▶︎

UCHUMI WETU UNAKUA KWA KASI, TUNAWEZA KUJITEGEMEA KWA MAPATO YETU YA NDANI