WAZIRI MCHENGERWA AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI SENGEREMA; ZAHANATI IFUNGULIWE; MBUNGE ATAMANI KULIA.
WAZIRI MCHENGERWA AMUWASHIA MOTO MKURUGENZI SENGEREMA; ZAHANATI IFUNGULIWE; MBUNGE ATAMANI KULIA. Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tamisemi,Mhe.Mohamed Mchengerwa ametoa maagizo ya vituo vya afya vilivyopo wilayani Sengerema vianze kutoa huduma haraka kwa wananchi. Akizungumza kwenye kituo cha afya kilichopo kijiji cha Kanyerere kilicho chini ya mradi wa Tasaf kilichofika asilimia 96 lakini hakijaanza kutoa huduma,Waziri Mchengerwa amesema haoni sababu ya msingi ya kuwacheleweshea huduma wananchi licha ya kupewa maelezo ambayo hayakumridhisha. Amebainisha maelezo yote aliyopatiwa kuhusu kituo hicho yameonesha waliopewa dhamana ya kusimamia wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo hivyo ametoa wiki mbili kituo hicho na vingine 11 viwe vimeanza kutoa huduma. "Katibu Tawala wa Mkoa nakuagiza simamia ipasavyo zoezi hili waandikie barua wahusika wote ili mradi huu uanze kazi,hatuna sababu ya kuwapa hasira wananchi wetu kituo wanakiona lakini wanaendelea kuteseka kupata huduma za afya,"Mhe Mchengerwa. . . . . . . #trending #mchengerwa #mwanza #raissamia

Waziri Mchengerwa aagiza kusimamishwa kwa Mkurugenzi wa Igunga na watumishi wawili kwa upigaji

AJIRA ZA WAALIMU NA MAAFISA AFYA KUTANGAZWA FEBRUARI - WAZIRI MCHENGERWA - “ELFU 23 WATAAJILIWA”...

MCHENGERWA ACHUKIZWA na MADIWANI BUKOBA, AFOKA "MSINICHEZEE NTASIMAMISHA BARAZA la MADIWANI..."

WAZIRI MCHENGERWA ALIVYOWAWEKA KIKAANGONI WAKURUGENZI, WAKANDARASI "ATAKAYE NIVUTA SHATI NITAMVUTA"

MAKONDA AMPIGIA SIMU MCHENGERWA "NISIKILIZE NAKUPA MIEZI MITATU, NATAKA KUONA STAND INAJENGWA KAGERA

Ngeleja Alivyobwagwa ndani ya CCM Jimbo la Sengerema

UJENZI DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUKAMILIKA DESEMBA 30, MWAKA HUU

Wananchi wa Igalula-Sengerema waanza kulipwa fidia kupisha shughuli za Mgodi

MCHENGERWA AMWAMBIA RAIS SAMIA - "AMBAYE ni SIZE YANGU NITALALA NAYE MBELE"

RAIS SAMIA MENEJA HUYU WA TARURA JEURI KIBOKO/MBUNGE SENGEREMA AMKATAA MBELE YA MKUU WA MKOA MWANZA

RIPOTI YA CAG; SENGEREMA, BUCHOSA HALI MBAYA | MADAWA YALIYOPITWA NA WAKATI TATIZO KWA WANANCHI

"HAIWEZEKANI DARASA MOJA LIJENGWE KWA MILIONI 12" - MWENYEKITI WA SENGEREMA ACHARUKA...

🔴#Live: WAZIRI MCHENGERWA ATOA MAELEKEZO MENGINE MAZITO kwa MENEJIMENTI ya TARURA | DAR ES SAALAM

Why Trump's latest Iran ‘deal’ could unlock $300 BILLION for Tehran

KUTOKA CHUO CHA SAUT MWANZA, WANAFUNZI WAHOFIA USALAMA WAO " TUMEVAMIWA NA KUNDI LA WAHALIFU"

WAZIRI BITEKO AZINDUA JENGO JIPYA LA THEATRE HOSPITALI YA SENGEREMA

JOHN MBADI GETS BOOED DURING FINANCE BILL PRESENTATION AS RUTO HIDES IN FINLAND!

Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa amwaga usafiri kwa viongozi

The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School

