Waziri Mchengerwa aagiza kusimamishwa kwa Mkurugenzi wa Igunga na watumishi wawili kwa upigaji
Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Mohamed Mchengerwa ameelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga aliyekuwa Halmashauri ya Kigoma Athumani Msabila pamoja na watendaji wawili wa mifumo waliopo Tamisemi kusimamishwa kazi maramoja kwa kutajwa na ripoti ya CAG kuhusika kwenye ufujaji wa fedha za mifumo. Mchengerwa ametoa maelekezo hayo leo Jumamosi, Novemba 4, 2023 ambapo bunge linajadili taarifa tatu za Kamati za Kudumu za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC), Serikali za Mitaa (LAAC) na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inayoishia Juni 30, 2022.

▶︎
VILIO, MAJONZI NA HUZUNI VYATAWALA HALMASHAURI YA WILAYA IGUNGA,

▶︎
MBELE YA MAKAMU WA RAIS NAIBU WAZIRI WA TAMISEMI AFUNGUKA RAIS SAMIA KUMWAGA BILIONI 67 ZA AFYA

▶︎
#Live: BAJETI KUU YA SERIKALI IKISOMWA BUNGENI DODOMA

▶︎
MCHENGERWA ACHUKIZWA na MADIWANI BUKOBA, AFOKA "MSINICHEZEE NTASIMAMISHA BARAZA la MADIWANI..."

▶︎
Waziri Mkuu aingilia kati adhabu zinazotolewa shuleni, atoa maagizo

▶︎
TAMISEMI YAANZA KUWAONDOA WALIOTAJWA RIPOTI YA CAG, MCHENGERWA ATOA ONYO KWA WATUMISHI WABADHIRIFU

▶︎
#LIVE: MAKONDA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA SHINYANGA

▶︎
MAKONDA AMPIGIA SIMU MCHENGERWA "NISIKILIZE NAKUPA MIEZI MITATU, NATAKA KUONA STAND INAJENGWA KAGERA

▶︎
MAPYA YAIBUKA!! WAZIRI SILAA AIBUKIA MWANZA AWAJIA JUU MATAPELI WA VIWANJA,WENGINE AAGIZA KUKAMATWA.

▶︎
🔴#Live: WAZIRI MCHENGERWA AWASILISHA MAKADIRIO na MATUMIZI ya BAJETI ya TAMISEMI BUNGENI I DODOMA...

▶︎
Msukuma AKINUKISHA Bungeni, Atikisa, Dunia Yamfuatilia

▶︎
HILI NDILO BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

▶︎
GACHAGUA EXPOSES BARAZA: "HE ORGANISED GOONS TO ATTACK ME!"

▶︎
BREAKING: WAZIRI MCHENGERWA AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI ALIYEIBA FEDHA, WABUNGE WASHANGILIA

▶︎
Ruto heart attack as Sifuna and his troop holds Mega Rally in Thika with 'Sisi Ndio Sifuna!'

▶︎
Game Over for Ukraine's Air Shield—And Europe Knows It | Prof Jiang xueqin

▶︎
#Live: RAIS SAMIA AKISHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BENKI KUU YA TANZANIA, JNICC DAR ES SALAAM

▶︎
AJIRA ZA WAALIMU NA MAAFISA AFYA KUTANGAZWA FEBRUARI - WAZIRI MCHENGERWA - “ELFU 23 WATAAJILIWA”...

▶︎
What to know about U.S.-Iran deal announced by Trump

▶︎
