Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia
Spika w Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Serikali ikafanyie kazi madai ya mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwamba Serikali imepanga kuchukua vijiji 80 vya wafugaji wa Simajiro na vijiji vingine kadhaa vya wafugaji wa maeneo mingine kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori. Hayo yametoke bungeni leo Jumatatu ya Juni 3, 2024 wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo Spika alitoa maelekezo hayo baada ya maelekezo yake ya kwanza ya kumtuma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba kumtafuta Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota ili aeleze kama aliandika barua hiyo. “Nimepokea barua hapa kutoka kwa mheshimiwa Ole Sendeka hii barua imeandikwa na mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota (amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro toka Agosti 2021). “Mheshimiwa Naibu Waziri wa Tamisemi huyu bado ni mkurugenzi wa Simanjiro (sauti zikasikika ndiyo). Mheshimiwa Naibu Waziri hebu nenda hapo nje mpigie simu kuhusu hii barua. Barua imeandikwa kwa ofisa mtednaji Kijiji cha olcholoni tarehe 16 tathmini ya maeneo yenye wanyamapori katika mapori ya Simanjiro na Berela na Simanjiro Kitiangare. Mkurugenzi akaseme aliandika hiyo barua au hapana.” Tazama zaidi.

OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?

🚨 ADO SHAIBU AILIPUA SERIKALI BUNGENI “JESHI LA POLISI LINATESA RAIA, LINAHITAJI MAGEUZI MAKUBWA!”.

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali

OLE SENDEKA NA FAMILIA YAKE WAMLILIA KAKA YAO ISAYA LEKITONY "TUMEMPOTEZA NGUZO YA FAMILIA YETU"...

🔴 #LIVE :Mvutano mkali sakata la Ngorongoro, Ole Sendeka, Matiko na Kibajaji, Ndumabaro wawasha moto

Mh Dr Tulia Akijinadi Kuwania Unaibu Spika new

Zitto Kabwe VS Dk Tulia Ackson, Full package

DAKIKA 14 KWAYA MAALUM SHEREHE YA KUNYWA MAZIWA ( EWOKOTO EEKULE) RIKA LA IRKIMAYANA SIMANJIRO.

MUSUKUMA AMVAA ALIYEKUWA WAZIRI “NIMEKUSIKIA USIINGIE 18 ZANGU, MIMI NI BONDIA SITAKI KUPAMBANA"

"SITAKI KUBISHANA NA WEWE" - OLE SENDEKA AMWAMBIA SPIKA TULIA BILA KUPEPESA, MVUTANO MKALI WATOKEA..

Ole Sendeka Adondosha Machozi Kwa Nyimbo Maalum Kwake Na Timu Ya Tumaini Partimayo

Taarifa zataka kumchanganya Mbunge Lekishon hadi akaomba kiti cha Spika kiingilie kati

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..

KWA HASIRA: RAIS SAMIA AMJIBU SPIKA NDUGAI KISOMI - "UNA STRESS za 2025, KELELE HAZINISHUGHULISHI"

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

MTIFUANO MZITO WAIBUKA BUNGENI, MBUNGE WA NGORONGORO ASHINDWA KUJIZUIA" SIYO HAKI MNAYOTUFANYIA"

KABUDI ATUMIA UPROFESA WAKE BUNGENI HADI MBUNGE AKAOMBA DAKIKA ZAKE APEWE KABUDI AENDELEE KUCHANGIA

KIVUMBI BUNGENI, OLESENDEKA ALIVURUGA BUNGE AWATAJA MAWAZIRI NANE WANAOMSUMBUA

