🚨 ADO SHAIBU AILIPUA SERIKALI BUNGENI “JESHI LA POLISI LINATESA RAIA, LINAHITAJI MAGEUZI MAKUBWA!”.

“JESHI LA POLISI LINATESA RAIA, LINAHITAJI MAGEUZI”-ADO SHAIBU Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado amesema kuwa kutokana na taarifa ya Tume ya Haki Jinai iliyoweka bayana kuwepo kwa malalamiko ya wananchi dhidi ya Jeshi hilo hasa vitendo vya matumizi ya nguvu kubwa wakati wa ukamataji, kutesa watuhumiwa na kubambikia watu kesi, Jeshi hilo linahitaji mageuzi makubwa ya kimatunzo, kimuundo na kisheria ili liondoke kuwa chombo cha mabavu (police force) kwenda kwenye chombo cha huduma za kipolisi (police service). Ado ametoa kauli hiyo ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 1 Juni 2026 akiuliza maswali ya ngongeza kwenye swali lake la msingi lililotaka kujua mkakati wa serikali katika kutekeleza mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai. Akijibu maswali ya Mheshimiwa Ado, Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mheshimiwa Zainab Katimba alisema kwamba Serikali imeweka mfumo wa kusimamia utekelezaji wa mapendekezo yote ya Tume ya Haki Jinai. Kwa upande wa mabadiliko ya sheria, Mheshimiwa Katimba alisema kuwa baadhi ya sheria zitaboreshwa kupitia Bunge la Mwezi Septemba 2026. Kwa upande wake, Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Patrobas Katambi ameliambia Bunge kuwa mbali na sheria, Serikali pia itahakikisha kuwa Tanzania inapata Katiba Mpya ambayo amesema ilikwama kutokana na wapinzani kutoka kwenye Bunge la Katiba.

BABA LEVO AWASHUKIA WANAOKULA NAULI ZA WANAUME "HAYA MAMBO YANALETA HASIRA KWA WANAUME"
▶︎

BABA LEVO AWASHUKIA WANAOKULA NAULI ZA WANAUME "HAYA MAMBO YANALETA HASIRA KWA WANAUME"

SIGRADA AKINUKISHA BUNGENI - HADI WAZIRI ULEGA AKASIMAMA KUTOA TAARIFA - ''WEWE UPO KWENYE MFUMO''
▶︎

SIGRADA AKINUKISHA BUNGENI - HADI WAZIRI ULEGA AKASIMAMA KUTOA TAARIFA - ''WEWE UPO KWENYE MFUMO''

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

🚨 SPIKA MUSA ZUNGU AWAKA MOTO | WABUNGE WALIOKWENDA MOROCCO WAPEWA SIKU 4 KUJIELEZA!
▶︎

🚨 SPIKA MUSA ZUNGU AWAKA MOTO | WABUNGE WALIOKWENDA MOROCCO WAPEWA SIKU 4 KUJIELEZA!

NCHIMBI ASOMA MESEJI ALIYOTUMIWA NA HAYATI MAGUFULI HADHARANI "SIWEZI KUHARIBU FUTURE YAKO"
▶︎

NCHIMBI ASOMA MESEJI ALIYOTUMIWA NA HAYATI MAGUFULI HADHARANI "SIWEZI KUHARIBU FUTURE YAKO"

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka
▶︎

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?
▶︎

🔴#LIVE: EXCLUSIVE: MCHUNGAJI MSIGWA AFICHUA MAZITO -SABABU KURUDI CHADEMA TUME ya CHANDE -CCM KWEMA?

HUYU MZEE ANAPIGA KAMA HAPIGI ILA MOT WAKE NI BALAA, AWAPA SOMOMZITO WANANCHI WA MPANDA MJINI
▶︎

HUYU MZEE ANAPIGA KAMA HAPIGI ILA MOT WAKE NI BALAA, AWAPA SOMOMZITO WANANCHI WA MPANDA MJINI

NIMEPEWA KESI YA KUUZA MENO YA TEMBO NILIKAMATWA NA MBAO | WAZIRI MKUU NISAIDIE KWA HILI
▶︎

NIMEPEWA KESI YA KUUZA MENO YA TEMBO NILIKAMATWA NA MBAO | WAZIRI MKUU NISAIDIE KWA HILI

Luhaga Mpina Anafunguka Kuhusu Maandamano Oktoba 29, Ufisadi, Usimamizi Mbovu wa Rasilimali za Umma
▶︎

Luhaga Mpina Anafunguka Kuhusu Maandamano Oktoba 29, Ufisadi, Usimamizi Mbovu wa Rasilimali za Umma

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali
▶︎

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali

NCHIMBI AFICHUA SIRI NZITO YA RAIS MAGUFULI, WATANZANIA WABAKI MIDOMO WAZI!
▶︎

NCHIMBI AFICHUA SIRI NZITO YA RAIS MAGUFULI, WATANZANIA WABAKI MIDOMO WAZI!

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

Leo #MariaSpaces tunajadili: Focus! Tunaendeleaje kusimama kidete bila kuvurugwa? #FreeTunduLissu
▶︎

Leo #MariaSpaces tunajadili: Focus! Tunaendeleaje kusimama kidete bila kuvurugwa? #FreeTunduLissu

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA
▶︎

RADIO NYINGI ZITAFUNGWA | CLOUDS ILIANZISHWA KWA MKOPO WA MILIONI 40 | JOSEPH KUSAGA

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema
▶︎

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane
▶︎

REBROADCAST | EFF President Julius Malema speaks to JJ Tabane

රාජපක්ෂලා එක්ක ඇයි මෙච්චර තරහා |Sarath Fonseka | 10 Questions | 25-05-2026
▶︎

රාජපක්ෂලා එක්ක ඇයි මෙච්චර තරහා |Sarath Fonseka | 10 Questions | 25-05-2026

BABA LEVO AMCHAPA MASWALI MAZITO MAKONDA WABUNGE WASHANGAA...
▶︎

BABA LEVO AMCHAPA MASWALI MAZITO MAKONDA WABUNGE WASHANGAA...